Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Bado unahangaika,

Pambaneni na hilo la cargo maana huko ndo kwny faida kubwa,hakuna sababu ya kuvunja hizo station buda kama muda ukifika na kuona maeneo hayo husika yanahitaji stesheni kubwa kwa wkt huo,ni kuzibadilishia matumizi tu, zinaweza pia kuwa offices tu kwa ajili ya kusupport operations,huko katikati kuna plenty of land buda na uzuri wa huku kwetu ardhi ni mali ya serikali,hivi umeshapita kwny youtube au kusafiri?!,angalia station za wenzetu za katikati kwny miji midogo hawana mbwembwe kabisa na bado nyingine ziko krb na makazi ya watu kwny baadhi ya nchi structure zao unakuta ni steel na poles plus platform game over mfano mdogo tu angalia gautrain,hapo S.A pamoja na kuhodhi world cup, we unafikiri kwa population yao na volume ya uchumi wao hawakuwa na uwezo wa kujenga structures kubwa, simply waliangalia economic viability, abiria wanakaa labda maximum masaa mawili tu kwa siku tena abiria wenyewe wa kuhesabu baada ya hapo ni patupu kbs, cost ya ujenzi, maintainance mlima, ni wastage of resources tu maana msipofanya hivyo yataozea huko, kibaya zaidi ni pesa ya mkopo tena ni mkopo wenye masharti magumu kweli kweli,sifa za kijinga,mtapambana na hali yenu.I'm done.Endeleeni kutiana ujinga.
Za tazara mlijenga ngapi, ama bado mnatumia zile zile za kitambo
 
Bado unahangaika,

Pambaneni na hilo la cargo maana huko ndo kwny faida kubwa,hakuna sababu ya kuvunja hizo station buda kama muda ukifika na kuona maeneo hayo husika yanahitaji stesheni kubwa kwa wkt huo,ni kuzibadilishia matumizi tu, zinaweza pia kuwa offices tu kwa ajili ya kusupport operations,huko katikati kuna plenty of land buda na uzuri wa huku kwetu ardhi ni mali ya serikali,hivi umeshapita kwny youtube au kusafiri?!,angalia station za wenzetu za katikati kwny miji midogo hawana mbwembwe kabisa na bado nyingine ziko krb na makazi ya watu kwny baadhi ya nchi structure zao unakuta ni steel na poles plus platform game over mfano mdogo tu angalia gautrain,hapo S.A pamoja na kuhodhi world cup, we unafikiri kwa population yao na volume ya uchumi wao hawakuwa na uwezo wa kujenga structures kubwa, simply waliangalia economic viability, abiria wanakaa labda maximum masaa mawili tu kwa siku tena abiria wenyewe wa kuhesabu baada ya hapo ni patupu kbs, cost ya ujenzi, maintainance mlima, ni wastage of resources tu maana msipofanya hivyo yataozea huko, kibaya zaidi ni pesa ya mkopo tena ni mkopo wenye masharti magumu kweli kweli,sifa za kijinga,mtapambana na hali yenu.I'm done.Endeleeni kutiana ujinga.

Guatrain ni Commuter rail, amabyo inahudumia mji na vitongoji vyake.... Yani ni ni reli ambayo iko na high frequency, kila baada ya dakika 15 au 30 kunapita reli inayo beba abiria waliofika kwa station kwahivyo hakuna wakati station inatarajiwa kujaa!
Hii ni model tofauti kabisaa!!! kulinganisha hizo station za commuter rail ya SA na SGR ni kama vile kulinganisha stendi za BRT hapo bongo na ile stesheni kubwa ya mabasi ya masafa marefu mnayo jenga hapo bongo.
 
Nitapost hapa kwasababu inahusiana na SGR.....


Kwa wale wanao fikiri ni bandari zao pekee ndo zinapanuliwa..


Mombasa port berth number 21 -- iliomalizwa kujengwa 2017...

iu


iu



2018 ilipoanza kufanya kazi

iu




Mwanzo wa mwaka huu 2nd Container terminal (aka berth 22) ilianza kujengwa hapo kando ya Berth 21, Sasa inaonyesha wamepiga hatua kubwa

Mombasa-port.png




Vifaa vipya navyo vililetwa

4116-portcranes.jpg


DbSifnzWkAEahs_.jpg
BigLift Barentsz carrying 8 RTG's and on ASC crane (4) (Large)-max-w960.jpg
BigLift Barentsz Oita (1) (Large)-max-w960.jpg






Yani libandari linaelekea kua jibandari likubwa sana!!!!! Ukifikiria eti Lamu ita take over, fikiria tena! By the time Lamu imefika Berth 32, Mombasa itakua ilifikia berth 40!

iu



1_4.mp4_20190313_160423.572.jpg

1_4.mp4_20190313_160610.315.jpg
 
Nitapost hapa kwasababu inahusiana na SGR.....


Kwa wale wanao fikiri ni bandari zao pekee ndo zinapanuliwa..


Mombasa port berth number 21 -- iliomalizwa kujengwa 2017...

iu


iu



2018 ilipoanza kufanya kazi

iu




Mwanzo wa mwaka huu 2nd Container terminal (aka berth 22) ilianza kujengwa hapo kando ya Berth 21, Sasa inaonyesha wamepiga hatua kubwa

Mombasa-port.png




Vifaa vipya navyo vililetwa

4116-portcranes.jpg


View attachment 1258730View attachment 1258732View attachment 1258731





Yani libandari linaelekea kua jibandari likubwa sana!!!!! Ukifikiria eti Lamu ita take over, fikiria tena! By the time Lamu imefika Berth 32, Mombasa itakua ilifikia berth 40!

iu



View attachment 1258748
View attachment 1258749
Wuuue boss unakuanga umeivia hii sector sana,,
Some things hata hatujui zinajengwa...berth22
But kama ni Kwa jirani hizi mambo zingepostiwa hapa Kila siku rais akisifiwa,,,
 
Nitapost hapa kwasababu inahusiana na SGR.....


Kwa wale wanao fikiri ni bandari zao pekee ndo zinapanuliwa..


Mombasa port berth number 21 -- iliomalizwa kujengwa 2017...

iu


iu



2018 ilipoanza kufanya kazi

iu




Mwanzo wa mwaka huu 2nd Container terminal (aka berth 22) ilianza kujengwa hapo kando ya Berth 21, Sasa inaonyesha wamepiga hatua kubwa

Mombasa-port.png




Vifaa vipya navyo vililetwa

4116-portcranes.jpg


View attachment 1258730View attachment 1258732View attachment 1258731





Yani libandari linaelekea kua jibandari likubwa sana!!!!! Ukifikiria eti Lamu ita take over, fikiria tena! By the time Lamu imefika Berth 32, Mombasa itakua ilifikia berth 40!

iu



View attachment 1258748
View attachment 1258749
And then why no synergy with Kenyan transporters?
 
And then why no synergy with Kenyan transporters?
We are undergoing a transport/logistics revolution, obviously the process cannot go without challenges. Don't think your situation will be different.
 
Hii shughuli nzito aisee, jamaa wa Mombasa hawataki kusikia habari ya SGR...
Wakifanya mzaa jamaa wa Mombasa Republic watarudi! Let the market price decide na si kulazimisha watu! I see a sabotage towards the infrastructure if this issue left unattended!
 
Wakifanya mzaa jamaa wa Mombasa Republic watarudi! Let the market price decide na si kulazimisha watu! I see a sabotage towards the infrastructure if this issue left unattended!
Wanaolazimishwa kutumia sgr wako wapi..walete tuwaone
 
Back
Top Bottom