Bado unahangaika,
Pambaneni na hilo la cargo maana huko ndo kwny faida kubwa,hakuna sababu ya kuvunja hizo station buda kama muda ukifika na kuona maeneo hayo husika yanahitaji stesheni kubwa kwa wkt huo,ni kuzibadilishia matumizi tu, zinaweza pia kuwa offices tu kwa ajili ya kusupport operations,huko katikati kuna plenty of land buda na uzuri wa huku kwetu ardhi ni mali ya serikali,hivi umeshapita kwny youtube au kusafiri?!,angalia station za wenzetu za katikati kwny miji midogo hawana mbwembwe kabisa na bado nyingine ziko krb na makazi ya watu kwny baadhi ya nchi structure zao unakuta ni steel na poles plus platform game over mfano mdogo tu angalia gautrain,hapo S.A pamoja na kuhodhi world cup, we unafikiri kwa population yao na volume ya uchumi wao hawakuwa na uwezo wa kujenga structures kubwa, simply waliangalia economic viability, abiria wanakaa labda maximum masaa mawili tu kwa siku tena abiria wenyewe wa kuhesabu baada ya hapo ni patupu kbs, cost ya ujenzi, maintainance mlima, ni wastage of resources tu maana msipofanya hivyo yataozea huko, kibaya zaidi ni pesa ya mkopo tena ni mkopo wenye masharti magumu kweli kweli,sifa za kijinga,mtapambana na hali yenu.I'm done.Endeleeni kutiana ujinga.