Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

SGR ya Tanzania imejengwa bila ya Utafiti wa Sawa sawa.
Hakukua na Majibu ya Masuali Magumu ..kwa nini tunajenga Reli Mpya Ya kisasa.
Imejengwa ili kupata sifa tu. Za kisiasa. Na haikuzingatia Master plans ambazo zilitengenezwa kistadi.
Kutokana na kukurupuka na ukosefu wa maarifa leo
SGR main station ni kituko
Sub Station zote sio tena master of art stations
Umaliziaji wake uko very sub standard.
Na Kubwa kuliko yote Reli jii Haina Faida kwa Bandari ya Dar es salaam... ni reli inayo ishia Stesheni kwa Dar es salaam. Hivo lengo kuu la master plan kujenga reli ili kuongeza ufanisi bandari ya Dar es salaam haupo.
Sasa inakarabatiwa reli ya zamani kutoka kibaha hadi bandarini . Hapa kibaha Jkt wanajenga Dry port ambayo mizigo ya transit ita hifadhiwa hapo na kupakiwa na SGR. Hivo gharama za kutoa mizigo itaongezeka mara mbili.
NI UPOTEVU Mkubwa kwenye SGR ambayo lilo baki ni propaganda tu.
Reli hii itakua muhimu zaidi kwa abiria kuliko Harakati za uchumi na nchi jirani.
Wasicho jua Raanda , Uganda ni kuwaturn round ya kutoa mizigo itakua kubwa zaidi kutoka Bandari - Reli ya zamani- dry dock- SGR




Sent from my iPad using JamiiForums
 
Jeezus on a muleπŸ™‚

Hebu rudia tena kusoma ulichoandika ndugu, husomeki...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
La muhimu pale wala si transfer of technology (ToT) bali ni ile clause ya mkataba juu ya watu wetu kupata Capacity Building (transfer of knowledge) toka kwa contractor pamaja na actual experience wanayo gain kazini.

Nasema hivyo kwa sababu kimsingi pale hakuna unique/novel technology au Intellectual Property ambayo Yapi ame Patent ktk ujenzi wa SGR.

Lakini ujuzi na cutting edge experience ya miaka mingi ktk hio field especially kazi alizofanya ktk bara la Ulaya, Middle East na Africa ndio Yapi anacho na sisi tunataka watu wetu wa absorb as much as practicable possible.

Na kwa hilo tunafanikiwa maana asilimia kubwa ya senior engineers na technicians ktk kila aspect ya ujenzi unaoendelea ni wa Tanzania wenzetu. Plus kuna vijana wengi ambao tayari wanasoma ndani na nje ya nchi as part of the contract.

Moja ya faida kubwa ya mkataba wetu na Yapi ni pale tulipochagua philosophy ya 'design and build': hii inawapa watu wetu ujuzi na uzoefu wa ndani kabisa namna Yapi anavyofanya kazi zake kwa sababu wanafanya designs zote wakiwa pamoja ktk labs na wanazi-execute field wakiwa pamoja, Mwenyezi Mungu akupe nini?

Wale jirani zetu kule kaskazini wao mkataba waliompa mChina ni 'Turnkey' yaani maana yake ni kwamba mChina atafanya design yeye, atajenga yeye, ataleta Gari Moshi yeye, ataendesha Gari Moshi yeye, atafanya maintenance yeye, atakusanya fedha yeye, mpaka pale siku watakapomaliza kulipa deni.... sana sana atafundisha vijana wachache kufanya kazi nyepesi kama udereva na maintenance ndogo ndogo.. mChina noma kakaπŸ™‚


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kidogo umeanza kueleweka, lakini punguza jazba na fuatilia hii thread, hilo suala limeshajadiliwa hapa tayari.

SGR itafika bandarini, kule ndani ya bandari tayari container scanners zimeshajengwa ku-accomodate SGR na pale gerezani kuna ujenzi wa flyover ambayo ina-accomodate SGR.

Kipande cha reli kutoka bandarini kuja kuunganisha kwenye tangential turnout ya SGR mainline pale karibu na Shaurimoyo road wala hakizidi hata km 5, kitajengwa na kumalizwa ndani ya miezi miwili maximum.

Hujaelewa nini ? Kuwa SGR haitofika bandarini ? Ni kweli haifiki
Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hujaelewa nini ? Kuwa SGR haitofika bandarini ? Ni kweli haifiki


Sent from my iPad using JamiiForums
watu kama nyie sijue muelezwe vp pitia TRC Reli TV utaona kwamba unaloongea ni kukurupuka! Jaribu kutokuwa mropokaji kama hujui kwa kina kinachofanywa! Kingine uandishi wako unaonyesha level ya elimu na upeo wako!
 
Baradhuli mwenyewe burukenge, stress zako unamletea nani huku,
Ingependeza ungeanza kuuliza your corrupt gok hizo hard questions Kwanini wameingizwa mkenge na chinese.
Wacha kutumia kichwa kama dispenser ya mate tu. Hii ndio kukurupuka nasema bongolala mko nayo. Gok Kuingizwa mkenge vipi wakati train inatengeneza pesa?. Yenu mbona haijaisha November?
Ferrying cargo on SGR earns Sh7.54bn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mawazo yako ,usione vitu vinatetengenezwa ukafikiri Watu hawakuumiza vichwa, tuliyajua yote hayo tukafanya utafiti ktk Sgr za Kenya, Ethiopia, Morocco, Nigeria kote tumefika Kuona changamoto na wapi wamekosea cc tusirudie makosa, kama mumekula mkavu hayo yenu.nasikia baada ya wachina kufika SUSWA nao WAKASUSA πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…