babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Mvua kubwa zinanyeesha na hakuna sgr yetu iliyosombwa,Ushapigwa bao apa. Sasa umekimbilia kwa nyasi [emoji23][emoji23]. Hii ni part ya slope protection ya class 1 sgr sio Kama hiyo yenu inayongoja kusombwa maji kukinyesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha uongo.... Project ya Kenya iko na skills/technology transferMkuu,
La muhimu pale wala si transfer of technology (ToT) bali ni ile clause ya mkataba juu ya watu wetu kupata Capacity Building (transfer of knowledge) toka kwa contractor pamaja na actual experience wanayo gain kazini.
Nasema hivyo kwa sababu kimsingi pale hakuna unique/novel technology au Intellectual Property ambayo Yapi ame Patent ktk ujenzi wa SGR.
Lakini ujuzi na cutting edge experience ya miaka mingi ktk hio field especially kazi alizofanya ktk bara la Ulaya, Middle East na Africa ndio Yapi anacho na sisi tunataka watu wetu wa absorb as much as practicable possible.
Na kwa hilo tunafanikiwa maana asilimia kubwa ya senior engineers na technicians ktk kila aspect ya ujenzi unaoendelea ni wa Tanzania wenzetu. Plus kuna vijana wengi ambao tayari wanasoma ndani na nje ya nchi as part of the contract.
Moja ya faida kubwa ya mkataba wetu na Yapi ni pale tulipochagua philosophy ya 'design and build': hii inawapa watu wetu ujuzi na uzoefu wa ndani kabisa namna Yapi anavyofanya kazi zake kwa sababu wanafanya designs zote wakiwa pamoja ktk labs na wanazi-execute field wakiwa pamoja, Mwenyezi Mungu akupe nini?
Wale jirani zetu kule kaskazini wao mkataba waliompa mChina ni 'Turnkey' yaani maana yake ni kwamba mChina atafanya design yeye, atajenga yeye, ataleta Gari Moshi yeye, ataendesha Gari Moshi yeye, atafanya maintenance yeye, atakusanya fedha yeye, mpaka pale siku watakapomaliza kulipa deni.... sana sana atafundisha vijana wachache kufanya kazi nyepesi kama udereva na maintenance ndogo ndogo.. mChina noma kaka🙂
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa kijiweni unaweza sema lolote. EndeleaMvua kubwa zinanyeesha na hakuna sgr yetu iliyosombwa,
Ndivyo mlivyodanganywa kuwa ni class one ili mpigwe maana huwa hamna akili.
SGR yenu iko 8 months behind schedule sababu mvua! kila kikinyesha kidogo mnakusanya virago vyote na kungojea hadi msimu wa mvua uishe, tofauti na mchina ambaye hakuwahi kupumzika hata simu moja, ndi posa hio siku maji yakasomba tuta la SGR ambalo lilikua bado halijaekewa slop protection... Ndio maana ujenzi wa SGR Kenya ulimalizwa 6 months ahead of schedule!!Mvua kubwa zinanyeesha na hakuna sgr yetu iliyosombwa,
Ndivyo mlivyodanganywa kuwa ni class one ili mpigwe maana huwa hamna akili.
Mjinga mwenzako anaongelea kuhusu kubomoka kwa reli yetu na sio mambo ya reli kuchelewa kutokana na mvua zinazonyeesha,SGR yenu iko 8 months behind schedule sababu mvua! kila kikinyesha kidogo mnakusanya virago vyote na kungojea hadi msimu wa mvua uishe, tofauti na mchina ambaye hakuwahi kupumzika hata simu moja, ndi posa hio siku maji yakasomba tuta la SGR ambalo lilikua bado halijaekewa slop protection... Ndio maana ujenzi wa SGR Kenya ulimalizwa 6 months ahead of schedule!!
Kumbe upo kijiweni,
Your whole sgr is in question when the test train derailed and is still behind scheduleKumbe upo kijiweni,
The quality of the Standard Gauge Railway (SGR) project was put into question after a section was washed away by flood waters.
Hao nyang'au wakitoka hapo wanaenda kucharazwa viboko na wachina, duh.Wacha uongo.... Project ya Kenya iko na skills/technology transfer
Kila
Kati ya deal ambayo Kenya ilipiga na mchina, Kila mwaka kwa miaka mitano ya Kwanza Kenya itatuma engineers 30 kusomea masters kule China bure ambapo wamelipiwa kila kitu na contractor! Tofauti na huko kwenu ambako mnagaramia kando, kupeleka wanafunzi huko nje
Mbali na hapo, contractor atatumia $100m kujenga kituo cha mafunzo hapa Kenya, tofauti na nyinyi huko ambapo mafunzo spesheli yote mnaenda kusomea nje, kumaanisha huko mbeleni mtakua hamna local capacity ya kufunza wengine, itawabidi mrudi huko nje..
Train Simulator inayotumika pale Railways Training Institute Nairobi kufundisha wakenya...
View attachment 1389003View attachment 1389013
Mipango iliopangwa ni kwamba tuwe tumefika 96% localization mwaka huu NA IKIFIKA 2022 TUWE TUMEFIKA 99%
Kwasasa tuko oncourse for 100% localization, transfer of skills inaendelea kwa kila sector, kutoka kwa ma engineer hadi senior management.
Kwa mfano hii hapa ni skills competition iliofanyika wiki hii iliopita ambao wale walioshinda ndo watakua wakwanza kufanywa wasimamizi wa hao wengine..
View attachment 1389014
Hatujengi mitungi ya changaa.Your whole sgr is in question when the test train derailed and is still behind scheduleView attachment 1389095
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kidogo umeanza kueleweka, lakini punguza jazba na fuatilia hii thread, hilo suala limeshajadiliwa hapa tayari.
SGR itafika bandarini, kule ndani ya bandari tayari container scanners zimeshajengwa ku-accomodate SGR na pale gerezani kuna ujenzi wa flyover ambayo ina-accomodate SGR.
Kipande cha reli kutoka bandarini kuja kuunganisha kwenye tangential turnout ya SGR mainline pale karibu na Shaurimoyo road wala hakizidi hata km 5, kitajengwa na kumalizwa ndani ya miezi miwili maximum.
watu kama nyie sijue muelezwe vp pitia TRC Reli TV utaona kwamba unaloongea ni kukurupuka! Jaribu kutokuwa mropokaji kama hujui kwa kina kinachofanywa! Kingine uandishi wako unaonyesha level ya elimu na upeo wako!
mawazo yako ,usione vitu vinatetengenezwa ukafikiri Watu hawakuumiza vichwa, tuliyajua yote hayo tukafanya utafiti ktk Sgr za Kenya, Ethiopia, Morocco, Nigeria kote tumefika Kuona changamoto na wapi wamekosea cc tusirudie makosa, kama mumekula mkavu hayo yenu.nasikia baada ya wachina kufika SUSWA nao WAKASUSA [emoji23][emoji23]
Tupe picha na michoro...
Nimepita pale kilimani gerezani wanao jenga pale sio YAPI Merkez !
Leta picha na michoro
tafuta level yako kushindana nao!Yapi hawahusiki kuifikisha Reli Bandarini
Mambo ya TV ni propaganda . Kama kitu kilikosewa kimekosewa tu huwezi kurekebisha kwa Tv
Sent from my iPad using JamiiForums
Punguza ujuaji, yaani unafikiri kwamba ni wewe peke yako unaejua umuhimu wa SGR kufika Bandarini kuliko watu wote ...duh!
Implementation ya SGR yetu inafuata philosophy ya design and build, ikifika wakati wa kujenga hio branch ya bandarini utaiona hio michoro.
Na si lazima hako kakipande ka-less than 5km wajenge Yapi...
Punguza ujuaji, yaani unafikiri kwamba ni wewe peke yako unaejua umuhimu wa SGR kufika Bandarini kuliko watu wote ...duh!
Implementation ya SGR yetu inafuata philosophy ya design and build, ikifika wakati wa kujenga hio branch ya bandarini utaiona hio michoro.
Na si lazima hako kakipande ka-less than 5km wajenge Yapi...
Tupe picha na michoro...
Usichanganye na upanuzi wa Mwendokasi ya Kilwa road.
Nina michoro Ya SGR hakuna unao ishia bandarini
Pia ni Environmental Impact report yote hakuna ya hicho kipande unacho sema.
Kama ile kazi pale sio mwendo kasi basi itakua ni kiraka kilicho buniwa baada ya kukurupuka .
Nimepita pale kilimani gerezani wanao jenga pale sio YAPI Merkez !
Leta picha na michoro
Sent from my iPad using JamiiForums
Lazma abishe kuna watu wako hivyo wameumbwa kupotosha! Kazi inaendelea under DMGP project berth 1-7 inapanuliwa through CCECC n almost finished then DART project phase II is ongoing then soon SGR to Dar port from Ilala Shaurimoyo through Shaurimoyo/Keko/Chang'ombe junction (another interchange with an SGR at the intersection) n Kurasini BP flyover will commence !ukibisha na hapa nitakuona wewe ni hamnazo!
Umeshawahi kuwa kwny mradi wowote mkubwa wa kiserikali au kufuatilia kwa karibu project yoyote,ukaona inavyokuwa executed?!!!.Yaani wewe unayetoka huko na akili yako ya usiku utakuwa na mambo mengi sana ya kujifunza.Kosa kama hilo unalolifikiria halipo,yaani uwepo wake ni zero kbs.Duu mara kina jengwa kurasini mara philosphy gani sijui.
Umeona wapi wewe project kubwa kama hii kipande muhimu zaidi asipewe main contractor ?
Kwa hio itatolewa tender nyengine kujenga section ya Bandarini ?
Kuna tatizo kwenye mradi period
Sent from my iPad using JamiiForums
Duu mara kina jengwa kurasini mara philosphy gani sijui.
Umeona wapi wewe project kubwa kama hii kipande muhimu zaidi asipewe main contractor ?
Kwa hio itatolewa tender nyengine kujenga section ya Bandarini ?
Kuna tatizo kwenye mradi period
Sent from my iPad using JamiiForums