babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Sijui ni kazi za kutosha ndio hawana 😂😂😂Tatizo wanafeli kwny fonts, kuna muandiko mwingine ukiuona unajua kabisa huyu ni fulani huyu sema ID ni nyngne, ss we ngoja saivi tutakuwa tunatajana majina kwa ID ya zamani humu ili wasione km wamefaulu kwa technique hyo [emoji3][emoji3]
Sasa kama ndio hivyo mbona wachina wamepiga pa kubwa na nyasi walizo panda mkataba wake Mungu anajua, hivi waandishi na mafarisayo hawakuwepo? 😁😁Contractor analipwa kutokana na perfomance . Advance payment hupewa mwanzo wa mkataba ambayo huwa baina ya 20-30% ili awezu kufanya mobilization .
Then hupewa kila % ya mkataba unavomaliza kwa kupewa certificate of completion.
Mwisho wa kazi huka bidhi mradi na kupewa 10% yake ambayo huwa retained.
Wewe ukitukana ukitoa majina kwa baba zako shauri yako.
Sgr bongo ni bogus kwa vile wabongo sio wafuatiliaji ni washamba wamebanwa na cowards watapiga vigelegele tu.
Wenzao wa Kenya mradi tangu day one unaandikwa, unakosolewa na unashauriwa. Vyombo vya habari na wana siasa wana toa mawazo wanakosoa . Umesaidia serikali hata kama wameiba lakini umemaliza kwa wakati .
Leo Sgr bongo no body anaruhusiwa kutoa ushauri , kukosoa au kupendekeza.
Ni waandishi kukusanywa wakapewa bahasha kutembelea mradi ili kuandika kuwa unaendelea vizuri na kumsifu jiwe.
Haya bakini kusifu na kuoiga vigelegele
Sent from my iPad using JamiiForums
wakenya ni wajinga sana,,,,ndiyo maana huwa tunawaita majobless maana kwa kawaida ukiwa na akili timamu na unajielewa hauwezi kufungua acount zisizo na tija ili ujifurahishe nafsi....Tatizo wanafeli kwny fonts, kuna muandiko mwingine ukiuona unajua kabisa huyu ni fulani huyu sema ID ni nyngne, ss we ngoja saivi tutakuwa tunatajana majina kwa ID ya zamani humu ili wasione km wamefaulu kwa technique hyo [emoji3][emoji3]
Una wivu wa kijinga sn we demuBora hata ule mjengo alo uacha Mjerumani the old Railway station ! Ulipendeza kwa stule yake
Haya funikeni kioo kuficha the poorest Architecture in town
Sasa kama ndio hivyo mbona wachina wamepiga pa kubwa na nyasi walizo panda mkataba wake Mungu anajua, hivi waandishi na mafarisayo hawakuwepo? [emoji16][emoji16]
Wakati wapinga maendeleo mkizd kushawishi jamii iwe upande wenu, watu wanapiga kazi tu[emoji116][emoji116]Miaka 45 ilo pita Mwalimu kwa kushirikiana na cabinet yake na ile Ya Zambia ikiongozwa na Kaunda waliamua kujenga Railway inayo unganisha Tanzania na Zambia.
China alitoa Mkopo na ujuzi huku wakiwa katika hali ngumu ya Uchumi lakini Infrastructure za TAZARA zimebaki kuwa za kipekee kote Zambia na Tanzania. Main Station zake zote ni za kipekee zinaenda na wakati.
Ingawa TAZARA imejengwa 45 years ilopita Main staion zake ni bora mara 500 kuliko tunazojengewa sasa na Sgr
Ukweli always utabaki ni white na hauwei kuwa mweusi...na Kwa Ufupi am telling you Watanzania sio Wajinga wanajua na wana elewa kinacho endelea
View attachment 1403260View attachment 1403261View attachment 1403262View attachment 1403263
Sent from my iPad using JamiiForums
na bado utatokwa povu mpaka ujikojolee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora hata ule mjengo alo uacha Mjerumani the old Railway station ! Ulipendeza kwa stule yake
Haya funikeni kioo kuficha the poorest Architecture in town
[emoji23][emoji23][emoji23]duuuuh!!!! bange unazovuta zinakupeleka lessMain Station za Railway ya zamani ni master piece na zina vutia zaidi ya main station ambazo Sgr inajengwa . Haya majengo ni Zaidi ya miaka 120 lakini yanavutia na mazuri na yalilenga miaka mingi ku survive na wakati
Watanzania sio wajinga wote
View attachment 1403248View attachment 1403249
Sent from my iPad using JamiiForums
Huyo dada ni wa kumpuuza[emoji23][emoji23][emoji23]duuuuh!!!! bange unazovuta zinakupeleka less
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu epuka Corona tu tehBora hata ule mjengo alo uacha Mjerumani the old Railway station ! Ulipendeza kwa stule yake
Haya funikeni kioo kuficha the poorest Architecture in town
Bonge moja la gofu yani[emoji23][emoji23][emoji23]Bora hata ule mjengo alo uacha Mjerumani the old Railway station ! Ulipendeza kwa stule yake
Haya funikeni kioo kuficha the poorest Architecture in town