Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tatizo wanafeli kwny fonts, kuna muandiko mwingine ukiuona unajua kabisa huyu ni fulani huyu sema ID ni nyngne, ss we ngoja saivi tutakuwa tunatajana majina kwa ID ya zamani humu ili wasione km wamefaulu kwa technique hyo [emoji3][emoji3]
Sijui ni kazi za kutosha ndio hawana 😂😂😂
Miradi ya Tz inawaumiza sana hawa wajinga.
 
SGR Terminal progress
2352024_IMG_1585464452.852348.jpg


2352025_IMG_1585464465.360270.jpg


2352026_IMG_1585464475.379132.jpg


2352027_IMG_1585464485.053020.jpg


2352028_IMG_1585464492.389595.jpg


Courtesy: Simon
 
Contractor analipwa kutokana na perfomance . Advance payment hupewa mwanzo wa mkataba ambayo huwa baina ya 20-30% ili awezu kufanya mobilization .
Then hupewa kila % ya mkataba unavomaliza kwa kupewa certificate of completion.
Mwisho wa kazi huka bidhi mradi na kupewa 10% yake ambayo huwa retained.
Wewe ukitukana ukitoa majina kwa baba zako shauri yako.
Sgr bongo ni bogus kwa vile wabongo sio wafuatiliaji ni washamba wamebanwa na cowards watapiga vigelegele tu.
Wenzao wa Kenya mradi tangu day one unaandikwa, unakosolewa na unashauriwa. Vyombo vya habari na wana siasa wana toa mawazo wanakosoa . Umesaidia serikali hata kama wameiba lakini umemaliza kwa wakati .
Leo Sgr bongo no body anaruhusiwa kutoa ushauri , kukosoa au kupendekeza.
Ni waandishi kukusanywa wakapewa bahasha kutembelea mradi ili kuandika kuwa unaendelea vizuri na kumsifu jiwe.
Haya bakini kusifu na kuoiga vigelegele


Sent from my iPad using JamiiForums
Sasa kama ndio hivyo mbona wachina wamepiga pa kubwa na nyasi walizo panda mkataba wake Mungu anajua, hivi waandishi na mafarisayo hawakuwepo? 😁😁
 
Tatizo wanafeli kwny fonts, kuna muandiko mwingine ukiuona unajua kabisa huyu ni fulani huyu sema ID ni nyngne, ss we ngoja saivi tutakuwa tunatajana majina kwa ID ya zamani humu ili wasione km wamefaulu kwa technique hyo [emoji3][emoji3]
wakenya ni wajinga sana,,,,ndiyo maana huwa tunawaita majobless maana kwa kawaida ukiwa na akili timamu na unajielewa hauwezi kufungua acount zisizo na tija ili ujifurahishe nafsi....

wakenya wengi wa humu Jf ni majobless ndiyo maana wana mda wakufanya vitu vidivyo na maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Main Station za Railway ya zamani ni master piece na zina vutia zaidi ya main station ambazo Sgr inajengwa . Haya majengo ni Zaidi ya miaka 120 lakini yanavutia na mazuri na yalilenga miaka mingi ku survive na wakati
Watanzania sio wajinga wote
IMG_5716.JPG
IMG_5717.JPG



Sent from my iPad using JamiiForums
 

Attachments

  • IMG_5716.JPG
    IMG_5716.JPG
    41.4 KB · Views: 2
Miaka 45 ilo pita Mwalimu kwa kushirikiana na cabinet yake na ile Ya Zambia ikiongozwa na Kaunda waliamua kujenga Railway inayo unganisha Tanzania na Zambia.
China alitoa Mkopo na ujuzi huku wakiwa katika hali ngumu ya Uchumi lakini Infrastructure za TAZARA zimebaki kuwa za kipekee kote Zambia na Tanzania. Main Station zake zote ni za kipekee zinaenda na wakati.
Ingawa TAZARA imejengwa 45 years ilopita Main staion zake ni bora mara 500 kuliko tunazojengewa sasa na Sgr
Ukweli always utabaki ni white na hauwei kuwa mweusi...na Kwa Ufupi am telling you Watanzania sio Wajinga wanajua na wana elewa kinacho endelea
IMG_5712.JPG
IMG_5715.JPG
IMG_5714.JPG
IMG_5713.JPG



Sent from my iPad using JamiiForums
 
Sasa kama ndio hivyo mbona wachina wamepiga pa kubwa na nyasi walizo panda mkataba wake Mungu anajua, hivi waandishi na mafarisayo hawakuwepo? [emoji16][emoji16]

Mimi sio Mkenya ni Mtanzania Lakini sifati upepo....


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Miaka 45 ilo pita Mwalimu kwa kushirikiana na cabinet yake na ile Ya Zambia ikiongozwa na Kaunda waliamua kujenga Railway inayo unganisha Tanzania na Zambia.
China alitoa Mkopo na ujuzi huku wakiwa katika hali ngumu ya Uchumi lakini Infrastructure za TAZARA zimebaki kuwa za kipekee kote Zambia na Tanzania. Main Station zake zote ni za kipekee zinaenda na wakati.
Ingawa TAZARA imejengwa 45 years ilopita Main staion zake ni bora mara 500 kuliko tunazojengewa sasa na Sgr
Ukweli always utabaki ni white na hauwei kuwa mweusi...na Kwa Ufupi am telling you Watanzania sio Wajinga wanajua na wana elewa kinacho endelea
View attachment 1403260View attachment 1403261View attachment 1403262View attachment 1403263


Sent from my iPad using JamiiForums
Wakati wapinga maendeleo mkizd kushawishi jamii iwe upande wenu, watu wanapiga kazi tu[emoji116][emoji116]
tapatalk_1585508379655.jpeg
 
Bora hata ule mjengo alo uacha Mjerumani the old Railway station ! Ulipendeza kwa stule yake
Haya funikeni kioo kuficha the poorest Architecture in town
Bonge moja la gofu yani[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti hyo ndio main station, concrete na mijichuma km wiremesh halafu wanamalizia na vioo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom