Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kumbe unajua kwamba ni lazima itaanza kazi, nilidhani nayo itaishia machakani km yenu[emoji3][emoji3]
 
Mkifika Morogoro SGR Kenya inafaa kua Kisumu[emoji23][emoji23]
 
Wakenya oneni the real middle Income tulipofika, co nyie mnajiita MIC wkt hata treni ya umeme hamna, bus stand za kueleweka hamna, BRT hamna cable bridges hamna cjui middle Income gn nyie, na kwa taarifa yenu hii ni part 1 kuna ile nyngne part2 ya mbezi ambayo ni hatari kuliko hii is loading..... Dodoma bus stand[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

 
hizi sgr
kule china wanaziita slow train, zinatumiwa na watu wenye kipato cha chini au wabana matumizi,
kama unabisha ingia youtube andika slow trian china
 
Mkuu treni ya kenya inaweza vuta 4,000 tonnes only, ya Tanzania ni 10,000 tonnes kama ulikuwa hujui hili.
 
hizi sgr
kule china wanaziita slow train, zinatumiwa na watu wenye kipato cha chini au wabana matumizi,
kama unabisha ingia youtube andika slow trian china

kweli bana [emoji23][emoji23] mwenye account is the same guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…