kwanza tumefanya makosa kulinganisha na upuuzi wa gari moshi laoNi kweli kabisa hata mm huu uzi huwa naushangaa sn ingepaswa uandikwe hivi[emoji116][emoji116]
Cost comparison between Tz mgr and Kenya diesel sgr
Kumbe unajua kwamba ni lazima itaanza kazi, nilidhani nayo itaishia machakani km yenu[emoji3][emoji3]Kutoka stesheni ya dar hadi Pugu pia imekua delayed na mvua? Miezi 4 naona progress ni ile ile, daraja hazija malizwa. At current pace i dont see first 100km being done within 1 year. By the time first train reaches morogoro Nairobi expressway will be complete. Trains not procured, after procurement it will take year to construct them.
Reli hii ita anza kazi 2023
Mkifika Morogoro SGR Kenya inafaa kua Kisumu[emoji23][emoji23]Kutoka stesheni ya dar hadi Pugu pia imekua delayed na mvua? Miezi 4 naona progress ni ile ile, daraja hazija malizwa. At current pace i dont see first 100km being done within 1 year. By the time first train reaches morogoro Nairobi expressway will be complete. Trains not procured, after procurement it will take year to construct them.
Reli hii ita anza kazi 2023
Kesho ujenzi wa Mwanza-Isaka unatangazwa!Mkifika Morogoro SGR Kenya inafaa kua Kisumu[emoji23][emoji23]
Hata Rwanda na Uganda wametangaza kujenga SGR lakini bado..Kesho ujenzi wa Mwanza-Isaka unatangazwa!
Tofauti ni Sisi hutangaza baada ya fungu la fedha kuwa limetengwa tayari!Hata Rwanda na Uganda wametangaza kujenga SGR lakini bado..
Kuliko ile yenu ilimong'onyoka na mvua!Looks cheapView attachment 1491570
Mkuu treni ya kenya inaweza vuta 4,000 tonnes only, ya Tanzania ni 10,000 tonnes kama ulikuwa hujui hili.Ukumbuke pia hiyo ya umeme hitaweza kushinda ya kenya kwa kubeba mizigo. Yenyu itaweza kubeba only 16 million tonnes kwa mwaka wakati yetu inabeba 22 million tonnes kwa mwaka. Ni vile reli yenyu itakuwa hafifu, haitaweza kustahimili uzito wa cargo kama ya kenya.
Kwa kifupi, Treni moja ya mizigo ya kenya ikileta cargo Tanzania, hapo kwa border itabidi Tanzania ilete treni mbili ibebe mizigo yenye treni moja ya kenya inabeba au treni 4 za mgr.
hizi sgr
kule china wanaziita slow train, zinatumiwa na watu wenye kipato cha chini au wabana matumizi,
kama unabisha ingia youtube andika slow trian china