Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Naomba elimu wadau hapa kwenye ujenzi wa hizi nguzo za madaraja majini. Niliona hapo Salender kama vile maji yamegandishwa vile kwenye eneo lililozungushiwa kwa ajili ya kudrill na kusimika nguzo za zege. Hii tekinolojia ya ujenzi wa nguzo kwenye madaraja kama haya ya majini ikoje. Maji hudhibitiwa vipi?
Kugandishwa? sidhani nachojua mimi baada ya kuzungushia a surrounding sealed barrier then hu-pump out maji then ndo wanajenga!
 
Mwanzoni alikuwa anajitahidi kutoa hoja na pia alikuwa anaongelea na nchi yake but cku hz amekuwa mpuuzi asiye na mfano ameacha kabisa kuongelea nchi yake amekuwa mtu wa kulalamikia miradi ya Tz as if inatumia pesa yake, hz ni dalili mby sn kwa Wakenya.
fedheha imezidi maarifa!
 
It is Selander bridge and not Surrender Bridge! BTW immediately after this Selander bridge is completed, there is a plan for a tunnel from Magogoni to Kivukoni creek!
Ee bwana ee! Hiyo tunnel itakuwa kwa ajili ya nini, kwa siye ambao hatujafika huko. Ni barabara au trench tu kwa ajili ya kupitisha maji?
 
Ee bwana ee! Hiyo tunnel itakuwa kwa ajili ya nini, kwa siye ambao hatujafika huko. Ni barabara au trench tu kwa ajili ya kupitisha maji?
pitia nilichoandika vyema utajua ya nn kaka!
 
Rufiji nayo ni kupoteza hela zaidi kuzidi ata surrender.
Magufuli is not an economist nowonder he doesn't have any impactful project amabyo imeguza mwanainchi wa kawaida.
Rufiji useless! What kind of weed do you guys up there smoke? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miradi mikubwa ya Tz unaiita feki kwa vile unajua ni mwiba kwa wakenya ninyi subirini hii tano tena ya jpm
I can tell come 2025 baada ya kuweka miundombinu ya msingi (reli, trunk roads, bandari na airports/ndege) sisi ndiyo tutakuwa na competitive advantage dhidi ya hao jirani zetu wazee wa mikopo kwa blocks zote za eneo la maziwa makuu.

Ukiangalia utaona bro Magu anaseti mitambo beyond biashara ya usafirishaji. In the long run it's more about bidhaa zetu kuwa na more accessbility kwa masoko ya eneo hili kuliko zile za Nairobi.

Bidhaa itayozalishwa Tanga, Dom, au Kibaha kwa mfano, itakuwana uwezo wa kuwa delivered Kinshasa, Kigali au Kampala haraka na kwa gharama nafuu kuliko ile ya Mombasa au Nairobi.

Mda utakapofika ndipo jamaa watajua hawajui. Long live Magufuli umalizie ngwe yako iliyobaki.
 
Struggling Gorge bado inameza hela za pension ya wazee, has serious environmental impact na haijatoa ata 1w ya umeme.
Jamani hivi hawa watu ni nchi nzima wako hivi au hawa nao ni kajamii flani tu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu bwana anataka JNHPP izalishe umeme sasa hivi ikiwa bado under construction! No wonder wanafisadi mpaka pesa za corona. Hawa jamaa zero kabisa.
 
Magaidi nao wanapiga risasi za kichwa tu tpdf wanajeshi wenu kule msumbiji View attachment 1561484
Magaidi wanajua watu wa ku-mess nao. Walianzisha chokochoko Kibiti-Rufiji wakajua hawajui. Pia kuna wale waliendaga Amboni wakaipata. Kinachokera sasa hivi ni hao Msumbiji kushindwa kudhibiti hao wapuuzi mpaka wameanza kuteka bandari. Ila mpaka wetu naamini watauheshimu maana wakituchokonoa tutawafuata mpaka huko huko Msumbiji.
 
Jamani hivi hawa watu ni nchi nzima wako hivi au hawa nao ni kajamii flani tu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu bwana anataka JNHPP izalishe umeme sasa hivi ikiwa bado under construction! No wonder wanafisadi mpaka pesa za corona. Hawa jamaa zero kabisa.
Sio jamii yote ya Wakenya ipo hvyo ila wengi wapo hvyo living in denial [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Source yako ni kigogo ndo mana nakwambia umekuwa mjinga sana cku hz.
Source yake ni huyo mwanaharakati uchwara ambaye ukimpinga kwa fact anakublock [emoji23][emoji23][emoji23]


''Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limesikitishwa mno na taarifa hizo na kwa ujumla ni kwamba hatukutarajia kabisa kwamba jambo hilo lingeweza kuzungumziwa kwasbabu Tanzania haina wanajeshi ambao wamevuka mpaka na kuingia Msumbiji'', alisema bwana Sipe.
''Hadi kufikia sasa tunakalia maeneo yetu ya utendaji ambayo hayahusiani kabisa na operesheni zozote za Msumbiji'', alisema Luteni Sipe.

Kwa jumla ni kwamba utendaji wa jeshi la Tanzania upo katika maeneo yake ya kawaida kabisa katika kutekeleza ulinzi wa mipaka yake na operesheni zake hazihusiani kivyovyote vile na harakati zinazoendelea nchini Msumbiji.
 
Hata kama ni kweli but haiwezi kuwa ajabu cz wanajeshi huwa wana sign kifo kwa ajili ya nchi yao.
Ooooo!!umebadili gear baada ya kuona yamewakuta jwtz[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Sanata sana, na muombe sana wavaa makobazi wasitinge hko
 
Magaidi wanajua watu wa ku-mess nao. Walianzisha chokochoko Kibiti-Rufiji wakajua hawajui. Pia kuna wale waliendaga Amboni wakaipata. Kinachokera sasa hivi ni hao Msumbiji kushindwa kudhibiti hao wapuuzi mpaka wameanza kuteka bandari. Ila mpaka wetu naamini watauheshimu maana wakituchokonoa tutawafuata mpaka huko huko Msumbiji.
Oooo!! Bado kumbe mnajiamini, nendeni kichwa kichwa basi
 
Source yake ni huyo mwanaharakati uchwara ambaye ukimpinga kwa fact anakublock [emoji23][emoji23][emoji23]


''Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limesikitishwa mno na taarifa hizo na kwa ujumla ni kwamba hatukutarajia kabisa kwamba jambo hilo lingeweza kuzungumziwa kwasbabu Tanzania haina wanajeshi ambao wamevuka mpaka na kuingia Msumbiji'', alisema bwana Sipe.
''Hadi kufikia sasa tunakalia maeneo yetu ya utendaji ambayo hayahusiani kabisa na operesheni zozote za Msumbiji'', alisema Luteni Sipe.

Kwa jumla ni kwamba utendaji wa jeshi la Tanzania upo katika maeneo yake ya kawaida kabisa katika kutekeleza ulinzi wa mipaka yake na operesheni zake hazihusiani kivyovyote vile na harakati zinazoendelea nchini Msumbiji.
Hahaha!!north korea of east africa, hamjambo..
Kuficha sio mbaya, hata marekani pia walificha baada ya kulipuliwa na iran
 
Back
Top Bottom