The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Mm hapa bado najiuliza kuhusu gharama zilizotumika kujenga lile daraja zen linavunjwa how comes? Yn kwmb walijenga kitu ambacho hakikuwa planned? Nani atafidia hyo pesa ni Yarpi au GoT? Bado cjaelewa.BTW huwa nashangaa pele kamata/gerezani intersection watawekaje flyover halafu kwa mbele kuna cable stayed bridge na upande wa njia ya kuelekea gerezani kuna SGR viaduct? au watachimba underpass?
Mm hapa bado najiuliza kuhusu gharama zilizotumika kujenga lile daraja zen linavunjwa how comes? Yn kwmb walijenga kitu ambacho hakikuwa planned? Nani atafidia hyo pesa ni Yarpi au GoT? Bado cjaelewa.
Msikie akisema [emoji116][emoji116]amemaanisha lile cable bridge ambalo limesukwa! labda wanataka kulinyanyua zaidi?
Daahh ngj niwe mvumilivu kwanza ila inachanganya.
Akili yako tu mzigo achakujiongezea shurba....mkunya bwana.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] updates za video is the only hope Danganyikas have kwa hii 100km ya esigiara.
Kotu kimekwama porini hakuna hela.
View attachment 1595043
Kuna test lilifeli wanasema.kwanini wamelivunja?
ohk so watajenga suspension bridge ama?Kuna test lilifeli wanasema.
ohk ila la nyerere road tu maana la kariakoo na kigogo bado yapo! 👇Msikie akisema [emoji116][emoji116]Daahh ngj niwe mvumilivu kwanza ila inachanganya.
Ndo hii hapaKuna test lilifeli wanasema.
Kuna mawili..Kuna test lilifeli wanasema.
sawa mkuu nimekupata vyemamkuu kazi yetu tushamaliza.. sis hatupo tena huko.. wamebaki contractors wenyewe wa viaducts na electrical part kweny njia ya reli yenyewe haswa
ohk so watajenga suspension bridge ama?
Kuna mawili..
1. Kama lilifeli kwa minajili ya uwezo kuwa mdogo it means burden itadondokea upande wa Yarpi.
2. Kama lilifeli kwa minajili ya poor planning it means burden itadondokea kwa GoT.