Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

BTW huwa nashangaa pele kamata/gerezani intersection watawekaje flyover halafu kwa mbele kuna cable stayed bridge na upande wa njia ya kuelekea gerezani kuna SGR viaduct? au watachimba underpass?
Mm hapa bado najiuliza kuhusu gharama zilizotumika kujenga lile daraja zen linavunjwa how comes? Yn kwmb walijenga kitu ambacho hakikuwa planned? Nani atafidia hyo pesa ni Yarpi au GoT? Bado cjaelewa.
 
Mm hapa bado najiuliza kuhusu gharama zilizotumika kujenga lile daraja zen linavunjwa how comes? Yn kwmb walijenga kitu ambacho hakikuwa planned? Nani atafidia hyo pesa ni Yarpi au GoT? Bado cjaelewa.

amemaanisha lile cable bridge ambalo limesukwa! labda wanataka kulinyanyua zaidi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] updates za video is the only hope Danganyikas have kwa hii 100km ya esigiara.

Kotu kimekwama porini hakuna hela.
View attachment 1595043
 
Kuna test lilifeli wanasema.
Ndo hii hapa
images%20(45).jpg
 
Kuna test lilifeli wanasema.
Kuna mawili..

1. Kama lilifeli kwa minajili ya uwezo kuwa mdogo it means burden itadondokea upande wa Yarpi.

2. Kama lilifeli kwa minajili ya poor planning it means burden itadondokea kwa GoT.
 
Kuna mawili..

1. Kama lilifeli kwa minajili ya uwezo kuwa mdogo it means burden itadondokea upande wa Yarpi.

2. Kama lilifeli kwa minajili ya poor planning it means burden itadondokea kwa GoT.

Nadhani kulikuwa na shida ya design, tatizo ni la Yapi siyo GoT.
 
Back
Top Bottom