THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Hapo ndipo yatapitia yale mabehewa 52 ya double stack mlioagiza sio, shikamoo mturuki
Jamaa kasema ukweli, kwhyo wewe ndio imekuuma zaidi mpka umekurupukaImeumaeee?!pole.
Umeumia auuu, basi pole siku ingine tutapaka mafuta [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]China Roads and bridges ndio the best in CHINA/world
SI HIZI maujinga.
Hayo yatakuwa yanaishia Kwala.Dar Chalinze expressway bado ina umuhimu wake, tofauti na hapo basi ile outer ring road itasaidia sana kutoa heavy trucks katikati ya mji maana ni kero kubwa,kwanza hayana spidi kbs mpk yachanganye!!!magari mengine yanashindwa kwenda kwa spidi pia,barabara haisapoti maeneo ya maintenance likiharibika moja tu wote mmelala kamba hiyoo,bado yanahatarisha usalama wa raia barabarani,Yana-encourage kuwa na ICD katikati ya mji malori yamepaki krb barabara yote ya Mandela yakisubiri kupakia au kupakua mizigo,fujo mtindo mmoja.
Zile ni bullet co mizinga ya nyuki a.k.a mitungi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji85][emoji85]Hapo ndipo yatapitia yale mabehewa 52 ya double stack mlioagiza sio, shikamoo mturuki
hapo ni kuelekea station ya abiria, japokuwa cargo train hazitakuja station, still an equivalent of doublestack i.e. double decker PAX trains zinapita hapo bila tatizo lolote!Hapo ndipo yatapitia yale mabehewa 52 ya double stack mlioagiza sio, shikamoo mturuki
Tuletee bullet ambazo zina mabehewa ya containers nyuma[emoji23][emoji23]Zile ni bullet co mizinga ya nyuki a.k.a mitungi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji85][emoji85]
sasa china Roads and bridges na CCECC wana tofauti gani kama si moja imezaa nyingine? Ficha upumbavu!China Roads and bridges ndio the best in CHINA/world
SI HIZI maujinga.
CCECC ndio wanajenga Egypt new capital?hao ni hatarii nawaheshimu.sasa china Roads and bridges na CCECC wana tofauti gani kama si moja imezaa nyingine? Ficha upumbavu!
CRBC na CCCC ndio samesasa china Roads and bridges na CCECC wana tofauti gani kama si moja imezaa nyingine? Ficha upumbavu!
Kwhyo cargo trains wanatengeneza njia yakehapo ni kuelekea station ya abiria, japokuwa cargo train hazitakuja station, still an equivalent of doublestack i.e. double decker PAX trains zinapita hapo bila tatizo lolote!
cargo train ina-branch out at Ilala kwenda bandarini! Pitia old clips utaona, ila still double-decker coaches zinapita! hapo ni zaidi ya 16 feet!Kwhyo cargo trains wanatengeneza njia yake
Kwamba ulitaka mizigo nayo ikae sehemu ya abiria auuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuletee bullet ambazo zina mabehewa ya containers nyuma[emoji23][emoji23]
yaani jamaa roho zinawauuma, mwanzo walikuwa wanadai reli yetu haitakuwa ya umeme baada ya kuona transmission line imekamilika wamezodka, pia walikuwa wanaponda stations saahii wamenyamazishwa! Sasa ubishi umebaki kwenye doublestack wagons, zikifika watakimbia humu ndani! Kisa hawataki kuamini Mchina aliwa-short change Kenya baada ya kuona ufala wao!Zile ni bullet co mizinga ya nyuki a.k.a mitungi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji85][emoji85]
Si ujibu swali mjomba mbona unaruka ruka sasa...Kwamba ulitaka mizigo nayo ikae sehemu ya abiria auuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ww tulia wacha pupa, ushaambiwa double stack zitakuwepo ss utulie ili ujue Watz wana akili kiasi gani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Si ujibu swali mjomba mbona unaruka ruka sasa...
Train za mizigo zitapitia wapi
Stations zenu ni upuuzi, double stack labda ya kichato style manake sijaona transmission yakupitisha mabehewa ya double stack..yaani jamaa roho inamuuma mwanzo walikuwa wanadai reli yetu haitakuwa ya umeme baada ya kuona transmission line imekamilika wamezodka, pia walikuwa wanaponda stations saahii wamenyamazishwa! Sasa ubishi umebaki kwenye doublestack wagons, zikifika watakimbia humu ndani! Kisa hawataki kuamini Mchina aliwa-short change Kenya baada ya kuona ufala wao!
Akili za kijamaa hzo, na km zitapitia hapo mumepigwa na msahau kabisa swala la double stack..Ww tulia wacha pupa, ushaambiwa double stack zitakuwepo ss utulie ili ujue Watz wana akili kiasi gani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]