Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Lazima wawe makini mana anachokisema Geza nacho kina mashiko, isije ikawa tunaingizwa mkenge japo ni ppp lkn hii ppp ni jina lingine la Loans.
ilo ataachiwa muwekezaji aipambanie biashara ya reli yake.
tazara iachwe ijikongoje na serkali ijikite kwe central coridor
 
Wana Mataga hamjambo ?
Naona SGR Daraja la Nkurumah limekongongorewa kwa mara ya Tatu.
Naona Jini la pale sio la Nchi hii.
Itabidi Mataga muongee na Jamaa mlie mvunjia Petrol station yake bila ya fidia yoyote.
Petrol station ile ilikua na hati miliki ya mwaka 1966 .
Magu akaivunja kibabe . Haya mukaongee naye au mtavunja hapo na kujenga mpaka maji mtaita mma
 
Hahaha wamevunja daraja la SGR tena?
 
Daah lini tena iyoo
 
Hahaha wamevunja daraja la SGR tena?

Progress at the moment,







MY TAKE
After the construction of girders and pylon is completed, the blue steel I-beams r being patched up now before a deck is being constructed ready for concrete slabs and rail bars as the pictures show, ready for the first cable stayed SGR overpass in Africa!


Instead of a tar road in the picture, there will be a concrete slab!




TRC inamiliki ardhi yake tangu Mjerumani ajenge MGRkabla ya 1900, huyu aliyepewa hati 1966 ni ya magumashi!

CC: Tony254
 
Huwa unakashifu Lamu port kwa kuchelewa yet mradi huu umechelewa by almost 2 years now. Nyani haoni kundule.
 
Yani ukiwa mjinga basi akili ni mzigo kwako....[emoji848][emoji848][emoji848]
 
wapi picha mana mm nmepita jana pale naona kazi inaendelea kwa kasi kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiki ndicho nilichokiona jana, hawa jamaa wenye chuki binafsi dhidi ya JPM cjui wataacha lini, mzee wa watu amesha rest in peace kwann kumfata fata?
 
Uchafu uliokithiri huko Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…