Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #10,141
Kuna watu kwenye comments section wanaogopa kuwa uongozi mpya unaweza kutuletea treni za hovyo tofauti na jinsi JPM alitaka...
nimeanza kumskia Ndugai akidai kwann rollingstock zisiwe za watu binafsi sasa najiuliza kwann mpango wa JPM usiendelee halafu TRC i-float part of shares DSE kwa wanaotaka ku-invest? Sikuwa najua kama Ndugai anaweza kuwa kinyonga namna hii aisee! Huu mtindo wa kila mtu kununua mabehewa utaleta gharama na vurugu!Kuna watu kwenye comments section wanaogopa kuwa uongozi mpya unaweza kutuletea treni za hovyo tofauti na jinsi JPM alitaka...
Amenishangaza na mimi pia, lakini anyway order ya treni ilishatoka kitambo na Korea wako busy kukamilisha, labda asubiri next order ili nayeye aweke bid ya kampuni yake...nimeanza kumskia Ndugai akidai kwann treni zisiwe za watu binafsi sasa najiuliza kwann mpango wa JPM usiendelee halafu TRC i-float shares DSE kwa wanaotaka ku-invest? Sikuwa najua kama Ndugai anaweza kuwa kinyonga namna hii aisee! Huu mtindo wa kila mtu kununua mabehewa utaleta gharama na vurugu!
Ila mzee kazidi undumilakuwili mpaka anatia aibu!Amenishangaza na mimi pia, lakini anyway order ya treni ilishatoka kitambo na Korea wako busy kukamilisha, labda asubiri next order ili nayeye aweke bid ya kampuni yake...
Hawa jamaa watatutia aibu aisee wanaweza kutuletea mitreni ya ajabu kama Kenya daah🤔nimeanza kumskia Ndugai akidai kwann rollingstock zisiwe za watu binafsi sasa najiuliza kwann mpango wa JPM usiendelee halafu TRC i-float shares DSE kwa wanaotaka ku-invest? Sikuwa najua kama Ndugai anaweza kuwa kinyonga namna hii aisee! Huu mtindo wa kila mtu kununua mabehewa utaleta gharama na vurugu!
Ngoja tufute lile jina la soko kuu jipya la Dodoma 🙂Ila mzee kazidi undumilakuwili mpaka anatia aibu!
Kama JPM asingeingia madarakani hata hiyo reli yenyewe isingekuwa ya treni za umeme. Tungepata reli na treni za ovyo kama Kenya.Amenishangaza na mimi pia, lakini anyway order ya treni ilishatoka kitambo na Korea wako busy kukamilisha, labda asubiri next order ili nayeye aweke bid ya kampuni yake...
Yani sijawahi kumkubaligi yule jamaa hat siku moja. Siku ya kwanza nilivyo muona tu nikajua hakuna kitu pale .nimeanza kumskia Ndugai akidai kwann rollingstock zisiwe za watu binafsi sasa najiuliza kwann mpango wa JPM usiendelee halafu TRC i-float part of shares DSE kwa wanaotaka ku-invest? Sikuwa najua kama Ndugai anaweza kuwa kinyonga namna hii aisee! Huu mtindo wa kila mtu kununua mabehewa utaleta gharama na vurugu!
Nadhani 2025 ni mwisho wa u-speaker!Yani sijawahi kumkubaligi yule jamaa hat siku moja. Siku ya kwanza nilivyo muona tu nikajua hakuna kitu pale .
haimaanishi kuwa containers zote hazishuki chini..
Wacha ujinga mzee. Nimeshakuambia kuna containers ambazo lazima zishuke chini maana haziendi Nairobi. Pia kuna importers wengine wa Uganda ambao hawataki kutumia SGR na containers zao lazima zishuke chini ili watumie trucks. Nionyeshe ni wapi nilisema kwamba containers zote zinazowasili Mombasa zinawekwa kwenye SGR.haimaanishi kuwa containers zote hazishuki chini..
wacha mambo yako
hata hizo zinazoenda nairobi ni lazima zishuke chini si zote zinazopakuliwa kutoka kwa meli direct nakuambia hivyo sababu na uhakika na hilo tuna ndugu,jamaa na marafiki huko Nairobi na niwafanya business siongei vitu kutoka kichwaniWacha ujinga mzee. Nimeshakuambia kuna containers ambazo lazima zishuke chini maana haziendi Nairobi. Pia kuna importers wengine wa Uganda ambao hawataki kutumia SGR na containers zao lazima zishuke chini ili watumie trucks. Nionyeshe ni wapi nilisema kwamba containers zote zinazowasili Mombasa zinawekwa kwenye SGR.
Mimi nimeamua kumpotezea maana kang'ang'ania sijui nani kamdanganya!hata hizo zinazoenda nairobi ni lazima zishuke chini si zote zinazopakuliwa kutoka kwa meli direct nakuambia hivyo sababu na uhakika na hilo tuna ndugu,jamaa na marafiki huko Nairobi na niwafanya business siongei vitu kutoka kichwani
na usitake kupinga kauli ulizoandika
halafu anachonifurahisha naona anaanza kuzikataa kauli zake mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nimeamua kumpotezea maana kang'ang'ania sijui nani kamdanganya!
hata hizo zinazoenda nairobi ni lazima zishuke chini si zote zinazopakuliwa kutoka kwa meli direct nakuambia hivyo sababu na uhakika na hilo tuna ndugu,jamaa na marafiki huko Nairobi na niwafanya business siongei vitu kutoka kichwani
na usitake kupinga kauli ulizoandika
Kauli gani nimekataa? Nionyeshe.halafu anachonifurahisha naona anaanza kuzikataa kauli zake mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
bado unaleta akili ndogo ulikuwepo wakati zinapakuliwa..?..View attachment 1748695
Ukizingatia usafiri wa cargo train ni 8 hours kutoka Mombasa hadi Nairobi, hii meli iliyowasili Mombasa saa tisa mchana na mizigo kufika Nairobi baada ya masaa 11, basi tueleze cargo ziliwekwa chini kwa masaa mangapi hapo Mombasa? Wewe tujuze maana wewe ndio unaelewa zaidi. Na masaa lazima yaingiane. Pakua hio meli na uhakikishe mizigo zimewasili Nairobi ndani ya masaa 11, halafu utueleze containers za Nairobi zitakaa kwenye container depot kwa masaa mangapi.
dah hawa jamaa watapiga kazi kwa speed sanaUpdate: Mwanza-Isaka SGR