Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

It depends on what u want to achieve! Get the basics first! From ur DC interconnector grid with Ethiopia u will not be able to sell power to Ethiopia whereas for us we can buy and sell to our neighbors! Whether DC or AC i believe none of the countries will buy power from Kenya as it is way expensive than what Ethiopia and Tanzania will offer in through these interconnector powergrids i.e. EAPP and SAPP.

BTW it is possible to covert AC to DC!





EnRlMdxXIAMPKxu





Halafu kumbe mradi mkubwa kabisa wa powerline katika historia ya Tanzania ni hii 400 KV Namanga-Singida transmission line. Ndio maana mnaitangaza sana hata niliona video ya Tanesco kuihusu kwenye youtube. Sisi huku Kenya hatusifu mradi huo licha ya kwamba mradi huo pia upo kwetu. Sisi tuna 400 KV lines kadhaa zilizokamilika tayari na nyinyi hamna 400 KV hata moja iliyokamilika. Nionyeshe mradi wowote wa 400 KV iliyokamilika huko TZ na usitaje Namanga-Singida. Huoni aibu kujaribu kucompare Kenya na Tanzania? Isitoshe Nairobi tuna underground electricity cable inayozunguka Nairobi. Inaitwa Nairobi ring underground cable. This is the only underground electricity cable in East Africa surrounding a city.

 
Halafu kumbe mradi mkubwa kabisa wa powerline katika historia ya Tanzania ni hii 400 KV Namanga-Singida transmission line. Ndio maana mnaitangaza sana hata niliona video ya Tanesco kuihusu kwenye youtube. Sisi huku Kenya hatusifu mradi huo licha ya kwamba mradi huo pia upo kwetu. Sisi tuna 400 KV lines kadhaa zilizokamilika tayari na nyinyi hamna 400 KV hata moja iliyokamilika. Nionyeshe mradi wowote wa 400 KV iliyokamilika huko TZ na usitaje Namanga-Singida. Huoni aibu kujaribu kucompare Kenya na Tanzania? Isitoshe Nairobi tuna underground electricity cable inayozunguka Nairobi. Inaitwa Nairobi ring underground cable. This is the only underground electricity cable in East Africa surrounding a city.



Ukinionyesha miradi kama hii Kenya on Transmission line and systems, nahama! I challenge u!

ketraco.png


TANESCO owns interconnection power grid made up of generation system transmission and distribution system. Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.

TANESCO’s Future Plan( most r being carried out in 2021)

  1. TANESCO future transmission network will include ongoing projects of 414 km of 400 kV Singida – Arusha - Namanga transmission line,
  2. 293km of 220kV Transmission line from Bulyanhulu-Geita-Nyakanazi-Rusumo,
  3. 161km of 220kV SGR 1 Transmission line from Dar es Salaam to Morogoro,
  4. 381km of 132kV Tabora – Ipole – Inyonga- Katavi transmission line,
  5. 395km of 132kV Tabora – Urambo – Nguruka (Mganza) – Kigoma (Kidahwe) Transmission line,
  6. 14km of 132kV Kibada Kigamboni transmission line (this will have a pie configuration at Kibada from the Kurasini Mbagala Transmission line),
  7. 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Dodoma and Kinyerezi via Chalinze and associated substations. Construction of 372 km, 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Kinyerezi via Kibiti, Somangafungu – Kibiti and associated substation at Kibiti,
  8. 60km, 220kV from Chalinze to Bagamoyo,64km 220kV Segera – Tanga,
  9. 280km, 400kV line from Nyakanazi – Kigoma, 530km of 400kV Transmission line from Kigoma -Katavi – Sumbawanga,
  10. 620km, 400kV line from Iringa - Kisada – Mbeya – Tunduma - Sumbawanga,
  11. 4km, 330kV from Tunduma to the border with Zambia, 400kV line from Mtwara – Songea,
  12. 414km of 220 kV Morogoro - Makutupora Transmission Line project for electrification of SGR2 line (414 km) and Bay extension at Msamvu and Zuzu Grid Substations .

grid.jpg
 
Halafu kumbe mradi mkubwa kabisa wa powerline katika historia ya Tanzania ni hii 400 KV Namanga-Singida transmission line. Ndio maana mnaitangaza sana hata niliona video ya Tanesco kuihusu kwenye youtube. Sisi huku Kenya hatusifu mradi huo licha ya kwamba mradi huo pia upo kwetu. Sisi tuna 400 KV lines kadhaa zilizokamilika tayari na nyinyi hamna 400 KV hata moja iliyokamilika. Nionyeshe mradi wowote wa 400 KV iliyokamilika huko TZ na usitaje Namanga-Singida. Huoni aibu kujaribu kucompare Kenya na Tanzania? Isitoshe Nairobi tuna underground electricity cable inayozunguka Nairobi. Inaitwa Nairobi ring underground cable. This is the only underground electricity cable in East Africa surrounding a city.


Google Dar-Zanzibar interconnector, then Mwanza-Ukerewe interconnector! Hivyo ni vitu tumeafanya miaka mingi tena undersea power cables!


under-sea-power-cable-emerging-on-shores-of-zanzibar-from-mainland-FA4P4M.jpg


Zanzibar gets 100 MW cable link to mainland​

Oct 25, 2012

Cablese.thumbnail.jpg



25 October 2012 – The semi-autonomous group of islands that form Zanzibar off the Tanzanian coast is having a 100 MW submarine cable laid. The cable, which stretches from Zanzibar’s Unguja Island to Dar es Salaam, Tanzania’s capital, is being financed by the US government and is part of a US$206.5 million package being provided to the Tanzanian energy sector.

The cable, which is about 39 km long, is expected to be completed in December 2012.This project will cost someUS$28.1 million, with 24 communication fibre optic lines and 400 reserved emergency wires.Zanzibar has been struggling with the problem of power shortage for years. The islands experienced a blackout for almost three months after the existing submarine cable, which connects Tanzania’s mainland and the islands, failed in December 2009.

The new cable being installed will be more than double the capacity of the existing cable.

The contract to manufacture, deliver, and install this submarine power cable was signed in April 2010 at Stone Town by representatives of the USMillennium Challenge Corporation and the winning firm, Viscas Corporation of Japan.

Other key components of the Zanzibar interconnection project are also approaching completion. Kalpataru Power Transmission is erecting 195 new monopoles that will hold 37 kilometres of overhead power lines to bring power from Ras Fumba, where the submarine cable makes landfall, to Mtoni near Stone Town where a new substation is being constructed via a joint venture between Alstom Grid and Symbion Power. The substation will receive and distribute power throughout Unguja.

On the mainland, the Millennium Challenge Corporation compact, signed in 2008 between the governments of Tanzania and the US, is also supporting the upgrade of 25 additional power substations, as well as the rehabilitation and expansion of power transmission and distribution lines in seven regions; Mwanza, Tanga, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Iringa and Kigoma.


 

Nexans completes subsea cable link to provide reliable power for Pemba Island in Zanzibar

New 25 MVA link to mainland grid has enabled the local population to end years of dependence on unreliable diesel generators​

Paris, June 3rd, 2010 – Nexans, the worldwide leader in the cable industry, has successfully completed a new 75 km subsea power link between Pemba Island, the second largest island in the Zanzibar archipelago, and the National Grid on mainland Tanzania.

The 25 MVA link, opened officially on June 3rd by President Amani Abeid Karume of Tanzania, has enabled Pemba’s population of 300,000 people to end years of dependence on unreliable, erratic diesel generation subject to frequent power cuts. The availability of dependable electrical power is expected to assist the economic and social development of Pemba Island by opening up new economic opportunities and encouraging tourism.

Pemba Island Tanzanie


The Pemba cable project has been financed through a grant of 45 million euros from the Norwegian state, while the Zanzibar government has contributed 8 million euros and the Union government 4 million euros. Norplan has managed the project on behalf of the Norwegian Ministry of Foreign Affairs and ZECO, the Zanzibar Electricity Corporation.


The 36 kV PEX (XLPE) insulated cable was designed and manufactured at Nexans’ specialized subsea cable factory in Halden, Norway and incorporates optical fibre elements supplied by the Rognan factory, also in Norway. The cable, weighing over 4,300 tonnes, was loaded onto Nexans’ own installation vessel, the C/S Nexans Skagerrak, and shipped to the Pemba Channel.

The cable route runs from Tanga on the Tanzanian side to Pemba Island and required installation under challenging conditions. There are shallows on each side, and the cable needed to be floated out for more than four kilometres before the sea bottom falls away steeply, after which the cable was guided down to a depth of 850 metres.

The fast-track project made rapid progress from the initial signing of the contract in 2008 and the new cable started supplying electricity to Pemba from the mainland in early 2010.

“The Pemba Island project is a great example of our proven capability to implement subsea cable links in even the most demanding and difficult condition and within short timescales”, says Krister Granlie, Managing Director of Nexans’ Umbilicals & Submarine High Voltage Business Group. “It is also especially pleasing to see the successful conclusion of a project that will make a real difference to the daily lives of the local population.”



CC: Tony254
 
Halafu kumbe mradi mkubwa kabisa wa powerline katika historia ya Tanzania ni hii 400 KV Namanga-Singida transmission line. Ndio maana mnaitangaza sana hata niliona video ya Tanesco kuihusu kwenye youtube. Sisi huku Kenya hatusifu mradi huo licha ya kwamba mradi huo pia upo kwetu. Sisi tuna 400 KV lines kadhaa zilizokamilika tayari na nyinyi hamna 400 KV hata moja iliyokamilika. Nionyeshe mradi wowote wa 400 KV iliyokamilika huko TZ na usitaje Namanga-Singida. Huoni aibu kujaribu kucompare Kenya na Tanzania? Isitoshe Nairobi tuna underground electricity cable inayozunguka Nairobi. Inaitwa Nairobi ring underground cable. This is the only underground electricity cable in East Africa surrounding a city.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa only , mega city,mega project...

tunakuchora kisha tuna kuzoom halafu tunakucheka mwisho tunakudharau
 
Ukinionyesha miradi kama hii Kenya on Transmission line and systems, nahama! I challenge u!

ketraco.png


TANESCO owns interconnection power grid made up of generation system transmission and distribution system. Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.

TANESCO’s Future Plan( most r being carried out in 2021)

  1. TANESCO future transmission network will include ongoing projects of 414 km of 400 kV Singida – Arusha - Namanga transmission line,
  2. 293km of 220kV Transmission line from Bulyanhulu-Geita-Nyakanazi-Rusumo,
  3. 161km of 220kV SGR 1 Transmission line from Dar es Salaam to Morogoro,
  4. 381km of 132kV Tabora – Ipole – Inyonga- Katavi transmission line,
  5. 395km of 132kV Tabora – Urambo – Nguruka (Mganza) – Kigoma (Kidahwe) Transmission line,
  6. 14km of 132kV Kibada Kigamboni transmission line (this will have a pie configuration at Kibada from the Kurasini Mbagala Transmission line),
  7. 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Dodoma and Kinyerezi via Chalinze and associated substations. Construction of 372 km, 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Kinyerezi via Kibiti, Somangafungu – Kibiti and associated substation at Kibiti,
  8. 60km, 220kV from Chalinze to Bagamoyo,64km 220kV Segera – Tanga,
  9. 280km, 400kV line from Nyakanazi – Kigoma, 530km of 400kV Transmission line from Kigoma -Katavi – Sumbawanga,
  10. 620km, 400kV line from Iringa - Kisada – Mbeya – Tunduma - Sumbawanga,
  11. 4km, 330kV from Tunduma to the border with Zambia, 400kV line from Mtwara – Songea,
  12. 414km of 220 kV Morogoro - Makutupora Transmission Line project for electrification of SGR2 line (414 km) and Bay extension at Msamvu and Zuzu Grid Substations .

grid.jpg
Naona kwenye mambo ya kupanga mpo sawa yaani mipango za siku za usoni mpo vizuri zaidi. Pengine hata mumetushinda kwenye future plans. Lakini kwenye miradi zilizokamilika nadhani tumewashinda. Nyinyi mumeunda 5,896 km za nyaya ya umeme. Wacha nitafute kilomita za nyaya za Kenya zilizokamilika niweke hapa.

Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.
 
Naona kwenye mambo ya kupanga mpo sawa yaani mipango za siku za usoni mpo vizuri zaidi. Pengine hata mumetushinda kwenye future plans. Lakini kwenye miradi zilizokamilika nadhani tumewashinda. Nyinyi mumeunda 5,896 km za nyaya ya umeme. Wacha nitafute kilomita za nyaya za Kenya zilizokamilika niweke hapa.

Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.
most of the projects r U/C even the transmission line btn Morogoro and Makutupora (414km of 220 kV Morogoro - Makutupora Transmission Line project for electrification of SGR2 line (414 km) and Bay extension at Msamvu and Zuzu Grid Substations ) is already in procurement stages!


Pitia maelezo ya energy budget 2021/2022 !
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa only , mega city,mega project...

tunakuchora kisha tuna kuzoom halafu tunakucheka mwisho tunakudharau
Wewe kaa kando watu wazima wazungumze. Nenda kacheze na watoto wenzako huko nje. Hiki ni kikao cha watu wazima.
 
Naona kwenye mambo ya kupanga mpo sawa yaani mipango za siku za usoni mpo vizuri zaidi. Pengine hata mumetushinda kwenye future plans. Lakini kwenye miradi zilizokamilika nadhani tumewashinda. Nyinyi mumeunda 5,896 km za nyaya ya umeme. Wacha nitafute kilomita za nyaya za Kenya zilizokamilika niweke hapa.

Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.

HOTUBA WAZIRI WA NISHATI MWAKA 2021_22 - Final Draft2 31.05.2021-20-21_page-0001.jpg
HOTUBA WAZIRI WA NISHATI MWAKA 2021_22 - Final Draft2 31.05.2021-20-21_page-0002.jpg
 

Attachments

Naona inawauma sana Malazy kwamba Kenya sisi ni the biggest producer of geothermal power in Africa and also the biggest producer of windpower in Africa. Inauma lakini itabidi mzoee. Saa hii tuna the only DC powerline in Africa.
 
Naona inawauma sana Malazy kwamba Kenya sisi ni the biggest producer of geothermal power in Africa and also the biggest producer of windpower in Africa. Inauma lakini itabidi mzoee. Saa hii tuna the only DC powerline in Africa.
Mkunya, producer is irrelevant if u can't sell what u produce!

HOTUBA WAZIRI WA NISHATI MWAKA 2021_22 - Final Draft2 31.05.2021-22-23_page-0001.jpg


HOTUBA WAZIRI WA NISHATI MWAKA 2021_22 - Final Draft2 31.05.2021-22-23_page-0002.jpg


HOTUBA WAZIRI WA NISHATI MWAKA 2021_22 - Final Draft2 31.05.2021-24_page-0001.jpg
 
huyu achana nae.. mim nipo moja ya power plants za tanesco.. kwenye transmission line za mikondo yoyote hawajatuzidi hata sekunde moja.. ni vile tu sipo na mood leo
Huna mood kwa sababu tumewashinda?
 
huyu achana nae.. mim nipo moja ya power plants za tanesco.. kwenye transmission line za mikondo yoyote hawajatuzidi hata sekunde moja.. ni vile tu sipo na mood leo
Yaani mshikaji amekuwa mjinga sana vitu anavyo-post siku hizi ni kama kuringia ati wana DC transmission line bila kujua kuwa na AC au DC inategemea usage specifications! Amekuwa Mpumbavu kweli yaani kila anachoropoka anagundua si kitu cha maana na Tanzania inafanya zaidi yao!
 
Huna mood kwa sababu tumewashinda?
Hii umechomoa huko nyuma mkunya?
Nimekuaomba ulete proof ya TL zaidi ya hizi za Tanzania!
Ukinionyesha miradi kama hii Kenya on Transmission line and systems, nahama! I challenge u!

ketraco.png


TANESCO owns interconnection power grid made up of generation system transmission and distribution system. Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.

TANESCO’s Future Plan( most r being carried out in 2021)

  1. TANESCO future transmission network will include ongoing projects of 414 km of 400 kV Singida – Arusha - Namanga transmission line,
  2. 293km of 220kV Transmission line from Bulyanhulu-Geita-Nyakanazi-Rusumo,
  3. 161km of 220kV SGR 1 Transmission line from Dar es Salaam to Morogoro,
  4. 381km of 132kV Tabora – Ipole – Inyonga- Katavi transmission line,
  5. 395km of 132kV Tabora – Urambo – Nguruka (Mganza) – Kigoma (Kidahwe) Transmission line,
  6. 14km of 132kV Kibada Kigamboni transmission line (this will have a pie configuration at Kibada from the Kurasini Mbagala Transmission line),
  7. 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Dodoma and Kinyerezi via Chalinze and associated substations. Construction of 372 km, 400 kV double circuit TL from Julius Nyerere Hydropower plant to Kinyerezi via Kibiti, Somangafungu – Kibiti and associated substation at Kibiti,
  8. 60km, 220kV from Chalinze to Bagamoyo,64km 220kV Segera – Tanga,
  9. 280km, 400kV line from Nyakanazi – Kigoma, 530km of 400kV Transmission line from Kigoma -Katavi – Sumbawanga,
  10. 620km, 400kV line from Iringa - Kisada – Mbeya – Tunduma - Sumbawanga,
  11. 4km, 330kV from Tunduma to the border with Zambia, 400kV line from Mtwara – Songea,
  12. 414km of 220 kV Morogoro - Makutupora Transmission Line project for electrification of SGR2 line (414 km) and Bay extension at Msamvu and Zuzu Grid Substations .



    grid.jpg

Na Simon kakupa updated list!
UPDATED LIST

a) 400kV Transmission Lines
1) 400kV Iringa-Shinyanga TL (670km)
  • Iringa SS
  • Dodoma SS
  • Singida SS
  • Shinyanga SS
2) 400kV Mbeya-Iringa TL (350km)
  • Mbeya SS
  • Kisada SS
  • Iringa SS
3) 400kV Mbeya-Nyakanazi TL (1148km)
  • Mbeya SS
  • Tunduma SS
  • Sumbawanga SS
  • Mpanda SS
  • Kigoma SS
  • Nyakanazi SS
3) 400kV Nyakanaz-Kigoma TL (280km)
4) 400kV Dar es Salaam-Dodoma TL (451km)
5) 400kV Tabora-Katavi TL (132km)
6) 400 kV Somanga- Kinyerezi TL (198km)
7) 400kV Somanga-Mtwara TL (253km)
8) 400kV Rufiji-Chalinze TL (162km)
9) 400kV Chalinze-Dodoma TL (350km)
10) 400kV Dar es Salaam (K)-Arusha TL (682km)
11) 400kV Singida-Namanga(Ar) TL (414.4km)
12) 400kV Njombe-Kisada TL (170km)
13) 400kV Tanzania-Mozambique TL
14) 400kV Mtwara-Songea TL



b) 220kV Transmssion Lines
220kV Ubungo-Morogoro TL (172km)
220kV Ubungo-Morogoro TL (179km)
220kV Kidatu-Morogoro 1 TL (116km)
220kV Kidatu-Morogoro 2 TL (130km)
220kV Kidatu-Iringa TL (160km)
220kV Iringa-Mufindi TL (130km)
220kV Mufindi-Mbeya TL
220kV Bulyanhulu-Geita TL (55km)
220kV Masaka-Mwanza TL (640km)
220kV Somanga-Kinyerezi TL (198km)
220kV Ubungo-Kinyerezi TL (15km)
220kV Mlandizi-Zinga TL (15km)
220kV Somanga-Lindi TL (154km)
220kV Mtwara-Songea TL (656km)
220kV Iringa-Dodoma TL (237km)
220kV Dodoma-Singida TL (210km)
220kV Singida-Arusha TL (212km)
220kV Singida-Shinyanga TL (200km)
220kV Shinyanga-Buzwagi TL (100km)
220kV Shinyanga-Mwanza TL (140km)
220kV Mwanza-Bulyanhulu TL (129.46km)
220kV Kihansi-Iringa TL (95.23km)
220kV Kihansi-Kidatu TL (180km)
220kV Kyaka-Nyakanazi TL (232km)
220kV Geita-Nyakanazi TL (144km)
220kV Rusumo-Nyakanazi TL (98.2km)
220kV Makambako-Songea TL (250km)
  • Madaba SS
  • Songea SS
  • Makambako SS
220kV Ibadakuli-Mwanza TL
220kV Ibadakuli-Bulyanhulu TL
220kV Ibadakuli-Buzwagi TL
220kV Kibaha-Bagamoyo TL
220kV Kinyerezi-Morogoro TL (existing line)
220kV Kinyerezi-Morogoro/Kingolwira TL (SGR 1)
  • Pugu SS
  • Ruvu SS
  • Kidugalo SS
  • Kingolwira SS
220kV Morogoro-Makutupora TL (414km, SGR 2)




c) 132kV Transmission Lines
132kV Ibadakuli-Tabora TL
132kV Mtwara-Mahumbika TL (80km)
132kV Ubungo-Mbagala TL
  • Ubungo SS
  • Kurasini SS
  • Mbagala SS
132kV Ubungo-Gongo la Mboto TL
  • Ubungo SS
  • Kipawa SS
  • Gongo la Mboto SS
132kV Tabora-Kigoma TL (395.1km)
132kV Kurasini-Kigamboni TL (13.95km)
132kV Ubungo-Chalinze TL (97km)
132kV Chalinze-Morogoro TL (82km)
132kV Chalinze-Hale TL (175km)
132kV Pangani Fall-Hale TL (8.5km)
132kV Hale-Tanga TL (60km)
132kV Hale-Same TL (173km)
132kV Same-Kimungi TL (102km)
132kV Kimungi-Arusha TL (70km)
132kV Mwanza-Musoma TL (210km)
132kV Shinyanga-Tabora TL (203km)
132kV Musoma-Nyamongo TL (100km)
132kV Ubungo-Kunduchi/Tegeta TL (41km)
132kV Kunduchi-Zanzibar (Marine Cable) (38km)
132kV Ubungo-Mtoni TL
132kV Ubungo-Ilala 1 TL (11km)
132kV Ubungo-Ilala 2 TL (11km)
132kV Mtukula-Bukoba TL (84km)
132kV Tabora-Katavi TL (381km)
132kV Tabora-Kigoma TL (395km)


Afu mtu anasema tuna shida ya usambazi! Na Tanzania ilivyokubwa!!!
 
Naona kwenye mambo ya kupanga mpo sawa yaani mipango za siku za usoni mpo vizuri zaidi. Pengine hata mumetushinda kwenye future plans. Lakini kwenye miradi zilizokamilika nadhani tumewashinda. Nyinyi mumeunda 5,896 km za nyaya ya umeme. Wacha nitafute kilomita za nyaya za Kenya zilizokamilika niweke hapa.

Transmission system comprises of fifty-seven (57) Substations interconnected by transmission lines. Transmission lines network comprises of 3010.7 km of 220 kV, 1672.57 km of 132 kV, 543 km of 66kV and 670 km 400kV totalling 5896.27 km by the end of December 2019.
In Kenya Generation, Transmission na Distribution zimegawanywa Kila moja inafanywa na specific state company. Kengen, Kentraco, Kenya power all have their own network of power lines so you will have to combine them together. While in Tz everything is TANESCO.
 
Back
Top Bottom