Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wakenya mbn washakubali kwamba Tanzania ni baba lao hapa EA sema nyinyi Wakenya wa Jf ndo mnajifanya hamtaki kukubali ila mkiwa Twitter malalamiko kibao.
Ntakusamehe kwasababu umeanza kutujua juzi juzi huko Twitter. Sisi hulalamikia kila kitu huko, kama kungekua na expressway nyingine inajengwa nchi nyingine, kama ile ya Nairobi, Nina uhakika ingekua wakenya washaitafuta na kulinganisha na ya kwao na kutafuta dosari ambayo inapatikana kwetu ambayo haimo kule kwengine. Hio ndo nature ya wakenya - tunataka the best of the best iwe ni ya kwetu na tukiona dosari yoyote basi mawaziri wapo taabani na tunajua kule Twitter malalamishi yetu yatafikia serekali.
Lakini usikosee kufikiria tukilalamika tunachukia miradi yetu. Infact wale wanailalamika sana utakuta ndo watetezi wakubwa zaidi wa hizo project, (mmoja wao akiwa Mimi). Na ukifiri nakudamganya enda huko Twitter ukachokoze wakenya kwa kusema project zetu mbaya na za Tz ni nzuri uangalie Kama zenu hazitatafutiwa kasoro tele na wakenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…