Hehehehe!!jamani mbona povu sasa[emoji1787][emoji1787]gharama kwani unafikiri electrical SGR Tanzania ni reli ya mchina ya kulipa mkopo kama diesel SGR Kunyaland?
Kwhyo mzigo utabebwa bure mpka Ruvu alafu ufuatwe urudi temekeKwani mzigo ulipoingia port uliingia port gani? Kama uliingia port ya Dsm mwenye mzigo atalipia from DSM port
Vitu vingine huwa unaongea kwa kubahatisha sn, km kitu hujui kiache.Kwhyo mzigo utabebwa bure mpka Ruvu alafu ufuatwe urudi temeke
Kwa ground ni sifuri gani hebu jieleze, hio ya kwenu ndo sufuri imekua 92% done kwa miezi sita sasa 🤣🤣 mi hata nafikiri March nilisoma taarifa ambayo ilisema reli ya Tz iko 95% complete, juzi nilishtuka kusomea eti iko 92% hio 3% ilienda wapi???Mmebakiwa na takwimu kwa ground ni sifuri,bure kbs.
Kila reli lazima iwe inabeba to and from, that's not new....Hii model ni huko Kunyaland! TPA Iswana model tofauti na cargo ya kuja coastal toka hinterlands si lazima iwe tu ya overseas! Kuna nyingine destination Pwani, Morogoro na hata Dar yenyewe!
Posta mpka Ruvu ni mia moja na kitu, na mizigo kingi ya tz ni ya dar labda uje na data kupinga..Vitu vingine huwa unaongea kwa kubahatisha sn, km kitu hujui kiache.
Na mizigo ya dar malory yanaichukulia na wapiujuaji mwing usio na maana...
currently, mizigo yote nje ya Dar inapelekwa dry port ya kwala kwa MGR... process zote zilizotakiwa kufanyika Dar port zinafanyika dry port..
Ameona huwa tunasema mizigo mingi ya Mombasa port ni ya Nairobi naye amekuja na yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Posta mpka Ruvu ni mia moja na kitu, na mizigo kingi ya tz ni ya dar labda uje na data kupinga..
Sasa nakuuliza hyo mizigo ya dara nayo ikachukuliwe Na Ruvu..
Nawambieni hivi, hapo mmefeli na km mtalifanikisha kweli basi serekali itakua inatumia nguvu kupata hela ya kurudisha madeni
Vitu vingine huwa unaongea kwa kubahatisha sn, km kitu hujui kiache.
Kwikwikwi acha mchezo! 97% ya mizigo Tz inasafirishwa na barabara..... Only 3% inapitia reli, alafu unakuja hapa eti Tz huaga ina operate block trains 🤣🤣 the only block trains you operate is mizigo ya WFP ambayo ni chakula kinachokusanywa na kusafirishwa pamoja kwa mpigo kupelekea Uganda, hii so mizigo ya kutegemea manake WFP wanafanya hivi maybe once every 3 or 6 months. Mizigo miengine ya kila siku ni mizigo ya wanabiashara tofauti ambayo inawasili kutoka meli tofauti tofauti wakati tofauti kwahivyo lazima shunting ifanywe wakati treni inatafuta hayo makasha. Kama hamngekua mnahitaji hio huduma hakungejengwa marshaling yard kubwa hapo Ruvu na pia hamngepoteza mda kuagizia shunting locomotives za diesel zitakazo tumika kwa SGR yenu!TRC wanaoperate block trains kitambo sana masuala ya shunting yapo kwa kiasi kidogo sana.
Unajitekenya halafu utacheka mwenyewe. Habari ndio hiyo block trains to Rwanda Burundi uganda and congo. Otherwise kwa akili yako ilivyokuwa finyu Mafuta to Uganda by TRC yalikuwa shunted au sio?Kwikwikwi acha mchezo! 97% ya mizigo Tz inasafirishwa na barabara..... Only 3% inapitia reli, alafu unakuja hapa eti Tz huaga ina operate block trains [emoji1787][emoji1787] the only block trains you operate is mizigo ya WFP ambayo ni chakula kinachokusanywa na kusafirishwa pamoja kwa mpigo kupelekea Uganda, hii so mizigo ya kutegemea manake WFP wanafanya hivi maybe once every 3 or 6 months. Mizigo miengine ya kila siku ni mizigo ya wanabiashara tofauti ambayo inawasili kutoka meli tofauti tofauti wakati tofauti kwahivyo lazima shunting ifanywe wakati treni inatafuta hayo makasha. Kama hamngekua mnahitaji hio huduma hakungejengwa marshaling yard kubwa hapo Ruvu na pia hamngepoteza mda kuagizia shunting locomotives za diesel zitakazo tumika kwa SGR yenu!
Mama kasema kitangazwe soon. Tendering in process.Kipande cha Makutopora-Tabora,mchakato wake ukoje,anyone with news please?
Si ndo hivyo ndo nawahoji navyo, kwahivyo mzigo unashukishwa Dar port kutoka kwa meli....ujuaji mwing usio na maana...
currently, mizigo yote nje ya Dar inapelekwa dry port ya kwala kwa MGR... process zote zilizotakiwa kufanyika Dar port zinafanyika dry port..
Sasa mafuta yamegeuka na kuwa makontena sio 🤒🤒🤒 we ushawahi kuona mafuta (dangerous goods) kwa marshaling yard? unataka kuleta hatari wewe!!!Unajitekenya halafu utacheka mwenyewe. Habari ndio hiyo block trains to Rwanda Burundi uganda and congo. Otherwise kwa akili yako ilivyokuwa finyu Mafuta to Uganda by TRC yalikuwa shunted au sio?
Makosa sioyetu, nyi wenyewe ndo mkisema Kwala Dry port na Ruvu marshaling Yard zipo sehemu tofauti... Manake hio ndo ilikua issue yangu kubwa , Niko na issues zengine lakini hio ndo ilikua kubwa nilikua nashangaa how comes dry port alafu marshaling yard iwe sehemu nyengine.wanajikuta much know.. kungekuwa na namna ya kutuma voice notes humu ninfewatumia
kwenye chatting
View attachment 1862576
View attachment 1862577
View attachment 1862578
kuna sehem kwenye voice note kasema, malori mengi saiz hayafiki Dar kuchukua mizigo ambayo si ya Dar, yanaenda kwala dry.. akasema ndo mana saiz Dar hakuna malory mengi ila ukienda huko kwala kuelekea vigwaza (inapokutana na morogoro rd) utakuta malory kibao.. na muda huu kampuni ya estim (inayotengeneza kibamba highway) ndo inajenga barabara kutoka kwala kwenda vigwaza..
lkn much knows kutoka kenya ambae hajawah kufika hata mpkan mwa Tanzania na kenya atakuambia mizigo yote ni ya Dar
- kuongezea akasema malori ambayo mizigo yake ni nje ya Dar na ambayo yanafika Dar port ni malori ya mafuta tu.