Mlikataa ndani ya Tz ndo ikazuiliwa nje ya Tz.. hivyo ndo inaenda... Hakuna lolote linatuzuia kuwafurusha wachina lakini tukifanya hivyo tutakua tumevunja international law, hilo ndo jbo ambalo hatutaki kupatikana nalonmanake nje ya nchi Kenya Ina Mali nyingi sanaUsichanganye madesa ndege ilizuiliwa SA na Canada hakuna mtu au nchi yoyote yenye ubavu wakutupangia au kuzuia mali ya TZ ndani ya ardhi ya Tz.
Picha za Kwanza mlizonionyesha ni kama hii hapa Chini...yes na haina waya.. zingine zinazopita zinaweza kupita kwenye hizo zenye waya.. uwe unauliza sio kujikuta mjuaji.. each electric pole will serve two lines.. na most stations zina five lines
haya nasubir ujuaji wako hapo kwenye one track for dedicated terminal
Atajua vp hata Ulaya electric trains zikisimama catenary lazma iwe detached from electromagnetic pantograph! Parking lanes huwa hazina overhead power lines! Ndo sababu ya kuwa na locomotives zinazo-store power na kuweza kijiendesha na kurudi kwenye overhead power line.yes na haina waya.. zingine zinazopita zinaweza kupita kwenye hizo zenye waya.. uwe unauliza sio kujikuta mjuaji.. each electric pole will serve two lines.. na most stations zina five lines
haya nasubir ujuaji wako hapo kwenye one track for dedicated terminal
Picha za Kwanza mlizonionyesha ni kama hii hapa Chini...
hapo ukiangalia kote kote Kuna poles za stima, hizi ndo picha ambazo mlitumia haponawali, so kutokana na hio picha ndo comment yangu kuhusu kuhusu kushukisha mizigo kutoka kwa electrical SGR ilitokea, tena nikamwambia mwenzako Geza kwamba the only way that would be possible is kama hio track ya kushukisha mizigo itakua Haina nyaya za stima... Jibu lake ilikua ni Mimi sijielewi, inamaanisha hata yeye alikua hajui kwamba hio track ya kushukisha mizigo haitakua na nyaya za stima Bali itatumia diesel shunting locomotive., Manake kama angekua anajua hangechelewa kuniambia hivyo [so don't blame me for being observant]
Alafu kuhusu gantry cranes, Geza mwenyewe pia alitaja gantry cranes alipoanza kuongelea kuhusu the so called 'dedicated container yards'
Kwahivyo makosa ni yenyu nyinyi mnaopost picha ambazo hamuelewi ni nini alafu mkikosolewa kwa picha na maelezo mliotoa ndo mnakuja juu.... Kuna mwengine amepost picha za rail tracks zinazoingia kwa marshaling yard hapo Kwala, anasema hio ndo marshaling yard, je Mimi ninapoona hio picha ambayo ndo imenukuliwa kua ndo marshaling yard ya Tz na niwakosoe kwamba marshaling yard yenu Haina mahali pa kuegesha makontena nitakuja makosa ni yangu au aliepost picha na kusema hio ndo marshaling yard?
roho inamsokota! Siku hizi hawaiti SGR Kunyaland chinese first class !uwe unauliza kwanza usilete ujuaji!
Reli ya 17 Million tonnes itishie reli ya 22 Million 🙄.. Sisi tulisha enjoy vya kutosha sahii kwetu ni jambo la kawaida tu, nyinyi huko ndo bado mko kama sisi zile enzi za 2016 ambapo tulikua over exited mpaka ilikua hii thread haikai 5 minutes bila new update.roho inamsokota! Siku hizi hawaiti SGR Kunyaland chinese first class !
Kelele za chura hizi, SGR ishapitisha maximum capacity ya MGR which is 5 Million tones of designed carrying capacity.
ngoja tuone! Meanwhile lots 4 and 3 r loading...!Kelele za chura hizi, SGR ishapitisha maximum capacity ya MGR which is 5 Million tones of designed carrying capacity.
Kwani mnashindwa kuweka ramp?Nairobi - Nanyuki MGR line
Passenger
Size yake built in 1905!Nakuru MGR Station 1960's when it was brand new
Nakuru Station today