Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #12,101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Update: electrical SGR Dar-Moro
MY TAKE
Pugu to Kilosa train services loading... read for operation from end of September!
Maneno ya siasa tu mkuu, atazitoaje wkt hizo ni overpass na ni lazima ziwepo? Wanataka kusema kwamba hayati hakujua kwamba hapo inapita treni ya umeme karibu na makazi ya watu na pia kuna road ime cross? Siasa hiyo mkuu.Juzi katika mihangaiko yangu nikapita pale majumba sita kuelekea Segerea nikakuta wako bize kusimamisha nguzo za umeme kwa ajili ya SGR, kuna engineer mmoja nikapiga nae stori akaniambia kuna provision ya madaraja matatu ya magari!!!Njia panda Segerea, Airport na Vingunguti ambayo Hayati aliyatoa kwny mradi ila mama ameamua kuyarudisha tena kwny awamu yake.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ati kasema anatoa kwa nyanyake? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji2297] [emoji2297] [emoji2297] [emoji2297] [emoji2369] [emoji2369] [emoji2369] [emoji2369]
Haingi akilini....Juzi katika mihangaiko yangu nikapita pale majumba sita kuelekea Segerea nikakuta wako bize kusimamisha nguzo za umeme kwa ajili ya SGR, kuna engineer mmoja nikapiga nae stori akaniambia kuna provision ya madaraja matatu ya magari!!!Njia panda Segerea, Airport na Vingunguti ambayo Hayati aliyatoa kwny mradi ila mama ameamua kuyarudisha tena kwny awamu yake.
sijakuelewa madaraja matatu as overpass/underpass across the SGR track au flyovers?Juzi katika mihangaiko yangu nikapita pale majumba sita kuelekea Segerea nikakuta wako bize kusimamisha nguzo za umeme kwa ajili ya SGR, kuna engineer mmoja nikapiga nae stori akaniambia kuna provision ya madaraja matatu ya magari!!!Njia panda Segerea, Airport na Vingunguti ambayo Hayati aliyatoa kwny mradi ila mama ameamua kuyarudisha tena kwny awamu yake.
Zote ni underpass treni chini magari juu!!!sijakuelewa madaraja matatu as overpass/underpass across the SGR track au flyovers?
ohk sasa mkulu aliondoa halafu fedha zake zikaenda wapi? Na wakazi wangepitaje? Jiwe bwana...!Zote ni underpass treni chini magari juu!!!
Mi nimechukua maneno ya mshkaji 😂😂😂 inaweza ikawa kweli au ndo siasa sasa sijui ingekuwaje wangepiga taa na gates kama mbele kwny baadhi ya crossings.Ila maeneo ya uthamini nimakubwa makubwa nyumba nyingi za uswahilini zitapigwa chini inavyoonekana entrance ya airport na njia panda Segerea yatapata look mpya plus BRT,nawaza tena madaraja kwa ajili ya watu sijui itakuwaje!!!Au watapiga magari na watu pamoja!!!!.ohk sasa mkulu aliondoa halafu fedha zake zikaenda wapi? Na wakazi wangepitaje? Jiwe bwana...!
Kweli wajenge daraja la 2.5km ,Pia asisitize kuwepo na fence mpka maporini kule alafu azuie vidaraja vitatu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maneno ya siasa tu mkuu, atazitoaje wkt hizo ni overpass na ni lazima ziwepo? Wanataka kusema kwamba hayati hakujua kwamba hapo inapita treni ya umeme karibu na makazi ya watu na pia kuna road ime cross? Siasa hiyo mkuu.
Asante kwa kuliweka sawa mana nilikuwa ktk loading mode kwa muda, yn pale kuna underpass na co overpass!?kama treni inapita chini, nadhan zinaitwa overpass
Yaani kama barabara inapita juu kutakuwa na overpass! the word overpass or underpass has to be in reference to the SGR track! Ila mi naona kama kutakuwa na underpass maana kabla ya Pugu kuna hizi MSE retaining walls! Labda overpass mitaa ya Vingunguti!Asante kwa kuliweka sawa mana nilikuwa ktk loading mode kwa muda, yn pale kuna underpass na co overpass!?
Thanks!!!kama treni inapita chini, nadhan zinaitwa overpass
Hizo Mechanically Stabilized Earth (MSE) retaining walls zipo pale Tazara kwa Bakhressa.Yaani kama barabara inapita juu kutakuwa na overpass! the word overpass or underpass has to be in reference to the SGR track! Ila mi naona kama kutakuwa na underpass maana kabla ya Pugu kuna hizi MSE retaining walls! Labda overpass mitaa ya Vingunguti!
hata baada ya Bakhresa angalia video karibu na Pugu mitaa ya Banana!Hizo Mechanically Stabilized Earth (MSE) retaining walls zipo pale Tazara kwa Bakhressa.