Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

This rail is almost never talked about yet it has never stopped operating...
This is 100 km of rail from Lake.Magadi to Nairobi - Its used to transport Magadi Soda Ash from the lake and eventually to Mombasa




Kuna behewa moja la abiria liliongezwa kwa treni ya mizigo iwe inaweza kubeba watu kati ya Magadi-Nairobi





Reli hio ya MGR ilifanyiwa ukarabati na sehemu zilizokua zimeharibika kung'olewa, hadi sehemu zengine zimewekwa concrete sleepers






Kuna watalii kadhaa ambao hutumia hii treni kwenda na kurudi - kuzuru Lake Magadi amayo iko na vivutio kadhaa

















 
Hizi si treni za Kenya Railways bali ni za Magadi Soda company na ni privately owned!
 
Under normal circumstances mimi hua na ingnore vitu zengine, lakini vile we hupenda kuingilia kila post ya mkenya....

Is that a crooked wheel I see? Hizi vitu zinakaa 2nd hand si mpya

View attachment 1906113
View attachment 1906119
That is a wheel protector it prevents damage during loading and transportation so that the wheel surfaces remain smooth
 




MY TAKE
The only bridge in East and ecentral Africa of over 400 m that can withstand a train of axle load of 35t!
 
Hizi si treni za Kenya Railways bali ni za Magadi Soda company na ni privately owned!
Reli ni ya KRC, treni ni ya magadi ... This is the way to go... Reli ni kama vile barabara au runway ya airport.... Kuachia reli nzima iwe inatumika na kampuni moja ya serekali ni ku waste.... Na ndio mannana hii laini ya Magadi haijawahi kufa hata baada ya karibu reli zote za MGR kufa (kabla zianze kufufuliwa tena miaka miwili iliopita)
I hope one day in future watakubali kampuni ya kibinafsi kununua passenger train na waiendeshe kwa SGR (Bora wafwatilie schedule watakayopewa) hii italeta competition ambayo itaboresha usafiri...
 

KNOWLEDGE HUB

Magadi Railway Co Ltd​

This line from Magadi to Konza, opened in 1915, was built by the Magadi Soda Company to carry soda ash from Lake Magadi for export through Mombasa.




MY TAKE
Wachaga upumbavu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…