Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

ohk sasa serikali isiruhusu CCECC ituamulie nini cha kufanya! Mikataba lazma ifuatwe! Unaweza kutuletea evidence ya ulichosema?
Kuna rafiki yangu ni mhandisi wa TRC na anashiriki kwenye mradi huo ndiye aliyeniambia.

Huwa anatokea hata vipindi vya SGR kwa hiyo siwezi kumu-expose sana.

Ngoja huenda nikakutana naye weekend hii atakuwa na updates zaidi.
 

Maza asicheke nao aisee kama ndo hivyo wapigwe chini tuu kama wameshindwa
 
Kenya wamewajengea kiburi hawa Wachina! Work ethics hamna kabisa!
Wakenya ndio wajinga zaidi....ebu fikiria speed waliyo enda nayo hao wachina kujenga hiyo express way ,iyo kampuni ya kichina wanajua wakizembea watawajibishwa na wenzao
..sasa kwanin wakunya wasitumie mradi huo kama banchmark ya kuwabana wachina? Badala yake wanaishia kula viboko nyumbani kwao
 
We unaita signaling standard za china zipo chini wakati wao ndio wanaongoza katiba masuala ya reli na kila kitu kuhusiana na reli..
Waturuki wana nini kw china haswa likija swala la reli
 
We unaita signaling standard za china zipo chini wakati wao ndio wanaongoza katiba masuala ya reli na kila kitu kuhusiana na reli..
Waturuki wana nini kw china haswa likija swala la reli

soma kwanza uelewe.. mkataba unataka standard za europe.. ungekuwa unataka standard za kichina wachina wangeweka hizo za kichina.. na wachina wanaweza kuweka low quality sababu ya low price bidded.. hizo za ‘high quality’ standard za china unazoimagine hela yake sio kwa huo mkataba .. ni zaid ya hio hela
mlizojengewa nyie kwenu sio high quality ni old low quality .. usije ukajisifu hapa
 
anaelewa ila ndo kujitia ujinga!
 
Bwahahaha!!naona umedunda hapa mwisho ukaishia kwnywe unafiki, haya sasa nitajie hzo signaling low quality za uchina tulizowekewa sisi alafu utaje hzo high quality za uchina ambazo hatukufika gharama..

Alafu ukumbuke reli yenu ni low budget kwhyo hta nyie mbona lazima mpewe vitu low quality
 
We unaita signaling standard za china zipo chini wakati wao ndio wanaongoza katiba masuala ya reli na kila kitu kuhusiana na reli..
Waturuki wana nini kw china haswa likija swala la reli
sasa kwa ujinga wako reli waliyojenga Kenya ni sawa na wanazojenga Uchina?
 
kuna shida kubwa kwenye hii ishu ya Lot 3&4 SGR
more papers




huyu kadogosa ajiangalie.. kama ana support ya mama atabaki, otherwise atafekwa






courtesy Simon
 
Bwahaha!!mzee kakamatwa..
Reli sai inakimbia kubeba 5m tonnage nyie endeleeni kujitia wajuaji wakati kumbe hamjui chochote


SGR Train Travelling to Mariakani Hits Cow Killing it Instantly​


By Juliet Wambui on 17 June 2017 - 3:14 pm




A Standard Gauge Railway (SGR) train heading to Mariakani on Saturday knocked down a cow killing it instantly.

The cow was reported to have strayed onto the railway track after elephants destroyed the fence bordering the line.

Confirming the incident, an SGR official who sought anonymity told a local daily that the incident didn't affect the journey since the train proceeded to its destination.

"After knocking the cow, the train slowed down but continued with its journey to the station," the official stated.

He added, "Herders graze their animals in the area because the grass is greener on the other side of the line."
This is the first accident to be reported regarding the SGR train since it was launched on May 31 by President Uhuru Kenyatta.

The train carries around 1200 passengers in one trip taking four to five hours to cover the distance between Nairobi and Mombasa.


The cow killed by SGR passenger train


 
Bwahaha!!mzee kakamatwa..
Reli sai inakimbia kubeba 5m tonnage nyie endeleeni kujitia wajuaji wakati kumbe hamjui chochote

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…