Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

We all know your port is twice smaller than ours [emoji1787][emoji847]
Msa port haina uwezo wa kuhudumia meli 36 Kwa wiki. Huu ni uongo wa mchana kweupee..

Weka shots hapa ya vessel schedule tuone berth time inachukua muda gani.. Tuone avarage time ya loading and offloading hadi muweze kufikia hapo.

Labda kama meli zinapita tu hapo bila kushusha au kuchukua chochote.
 
Yani bandari babkubwa ya 22 Berths ishindwe kupokea meli 36 Kwa wiki moja?
Nikiuekea ushahidi wa idadi ya meli bandarini sahii utafanya nini, ama ni kurusha mdomo Tu?
 
Yani bandari babkubwa ya 22 Berths ishindwe kupokea meli 36 Kwa wiki moja?
Nikiuekea ushahidi wa idadi ya meli bandarini sahii utafanya nini, ama ni kurusha mdomo Tu?
Wacha maneno weka ushahidi hapa tuona mnaweza vipi kuhudumia meli 36 Kwa wiki. Kwa automation ipi hapo msa ambayo Dar itashindwa? Na weka hapa hizo 22 berth ambazo ni operational

See the traffic Young man... Ndio ujue wapi wako busy.

 
Dar port received 1407 ships in 2020, Mombasa 1,675 in 2019.




 
Wakenya na manipulation of data.. Haha

Hebu kwanza niambie mko wakenya wangapi.. Ndio tuanze kuongelea credibility ya hizi data zenu.

Hiyo rekodi ya meli zilizo dock Dar umepata wapi?
Huwa mkilemewa lazima mkuwe excuses, go to Tanzania Bureau of statistics you will get everything there.
 
Huwa mkilemewa lazima mkuwe excuses, go to Tanzania Bureau of statistics you will get everything there.
Mara ya mwisho imekuwa updated lini hiyo website? Screenshot the page please.

Na usisahau.. Nipe data wakenya mko wangapi?
 
Mara ya mwisho imekuwa updated lini hiyo website? Screenshot the page please.

Na usisahau.. Nipe data wakenya mko wangapi?
Population ya Kenya itakusaidia na nini?

Data zote za Tz ziko kwa hii link.

Starting from only
9,000km of paved road
28% ELECTRICITY CONNECTIVITY
2.5M number of passengers served by JNIA


 
Wewe kichwa chako kama jiwe la mtoni tu. Hata likae ndani ya maji miaka karne bado ukipasua ndani ni kavu kabisa.
 
Wewe kichwa chako kama jiwe la mtoni tu. Hata likae ndani ya maji miaka karne bado ukipasua ndani ni kavu kabisa.
After kukupea facts an evidences umeanza hasira sasa, typical Tanzanian indeed🀣🀣🀣
 
After kukupea facts an evidences umeanza hasira sasa, typical Tanzanian indeed[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Facts na evidence? Where is the evidence.. Japo ume derail from your own topic kuhusu idadi ya vessels at msa Port.. Bado sijaona chochote..

Nenda tafuta chakula ule..
 
Facts na evidence? Where is the evidence.. Japo ume derail from your own topic kuhusu idadi ya vessels at msa Port.. Bado sijaona chochote..

Nenda tafuta chakula ule..
Here is the evidence, directly from the Tanzania Bureau of Statistics.

 
Wewe kichwa chako kama jiwe la mtoni tu. Hata likae ndani ya maji miaka karne bado ukipasua ndani ni kavu kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jiwe la mtoni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani upo hapo umeketi ukiamini Dar port iko busy kushinda Mombasa? Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…