Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
5 yers later
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiitwa wanauliza kuna posho? Ni waandishi wa viposho viposho tu.Kwa upande wa journalism Tz nimenyosha mikono hatuna watu kabisa wao waambie habari za kina Mondi zuchu etc watakupa details zote
Mungiki wanahesabu kilometers lakini?
Video za mwezi wa pili bado azijatoka
[emoji16][emoji16][emoji16]and see what our neighbors have. machozi [emoji2299][emoji24]
View attachment 2131065
Abiria
View attachment 2131066
Mizigo
View attachment 2131067
yan hata train (kichwa) ya mizigo ya Tanzania imeizidi muonekano mzuri train ya abiria ya kenya [emoji24]
Mimi sioni ubaya wa wanachofanya hata yetu ikikamilika ni vizuri TRC ika-list at DSE hata Air Tanzania na TPA pia! Mashirika makubwa kama Deutsche Bahn yako listed!Hivi waafrika tuna nini? Hakuna chochote tunachoweza kuendesha wenyewe, njia moja tu ya treni,.... may be I am wrong ila si muumini wa ubin
Wewe jamaa nilizani upo smart kichwani lakini kumbe ,"kanacheza." Tulisha privatise shirika la reli kwa wahindi, wakangoa hadi vyuma na vipuri wakauza. Najua India ndo nchi inaongoza duniani kwa kuwa na makampuni mengi ya reli. Siku zote chako ni chako tu. Tatizo uwa ni management mbovu. Tatizo ni siasa na ubinafsi.Mimi sioni ubaya wa wanachofanya hata yetu ikikamilika ni vizuri TRC ika-list at DSE hata Air Tanzania na TPA pia! Mashirika makubwa kama Deutsche Bahn yako listed!
kwani TRC ilibinafsishwa kwa RITES kupitia stock exchange au kupitia Chenge? Dish limeyumba nn? Unajua maana ya public listing?Wewe jamaa nilizani upo smart kichwani lakini kumbe ,"kanacheza." Tulisha privatise shirika la reli kwa wahindi, wakangoa hadi vyuma na vipuri wakauza. Najua India ndolinaongoza duniani kwa kuwa na makampuni mengi ya reli. Siku zote chako ni chako tu. Tatizo uwa ni management mbovu. Tatizo ni siasa na ubinafsi.
Viwanda vingi vya serikali vilivyobinafsishwa vimekufa na mashirika yaliyobinafsishwa haya perform vizuri mm sioni umuhimu kwa kubinafsisha kwa sasakwani TRC ilibinafsishwa kwa RITES kupitia stock exchange au kupitia Chenge? Dish limeyumba nn? Unajua maana ya public listing?
nitajie shirika moja lilobinafsishwa kupitia DSE lika-collapse! TBL? TCC? TOL? Simba cement? Twiga cement? CRDB? Nadhani hamuelewi ninachosema! Mimi namaanisha TRC iwe public listed share zake ziuzwe kwa public hiyo nayo ni privatization! Asikwambie mtu mimi kila mwaka nakula commission na najuta kwanini sikununua shares lukuki! TRC ikibaki chini ya serikali siku utakuja uongozi mwingine upigaji utaanza ila shirika likiwa DSE linahakikiwa na very independent agencies! Angalia NICO ilivyokombolewa saahii inafanya vizuri!Viwanda vingi vya serikali vilivyobinafsishwa vimekufa na mashirika yaliyobinafsishwa haya perform vizuri mm sioni umuhimu kwa kubinafsisha kwa sasa
Kwani uyo anaongelea kuliweka shirika DSE au kuli privatise?? Pia makampuni uingia DSE kwa malengo yakukuza mtaji... Mashirika ya Serikali yanauwezo wa kupata mtaji direct kutoka Serikalini na ata kukopa kwa dhamana ya serikali. Tatizo uwa ni management na lobbing ya wafanyabiashara kwenye mashirika.nitajie shirika moja lilobinafsishwa kupitia DSE lika-collapse! TBL? TCC? TOL? Simba cement? Twiga cement? CRDB? Nadhani hamuelewi ninachosema! Mimi namaanisha TRC iwe public listed share zake ziuzwe kwa public hiyo nayo ni privatization! Asikwambie mtu mimi kila mwaka nakula commission na najuta kwanini sikununua shares lukuki! TRC ikibaki chini ya serikali siku utakuja uongozi mwingine upigaji utaanza ila shirika likiwa DSE linahakikiwa na very independent agencies! Angalia NICO ilivyokombolewa saahii inafanya vizuri!