Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania


Wewe si engineer na si engineer ubwabwa piga mahesabu ya distance toka Dar-Uvinza- Msongati-Gitega-Bujumbura-Uvira halafu compare na Dar-Isaka-Keza-Gitega-Uvira! Halafu Urudi hapa na si kuchorachora! Feasibility studies zipo online!
 
Wewe si engineer na si engineer ubwabwa piga mahesabu ya distance toka Dar-Uvinza- Msongati-Gitega-Bujumbura-Uvira halafu compare na Dar-Isaka-Keza-Gitega-Uvira! Halafu Urudi hapa na si kuchorachora! Feasibility studies zipo online!

mim sio engineer.. hesabu unayonipa nitajulia wap sasa [emoji38][emoji1787]
 
mim sio engineer.. hesabu unayonipa nitajulia wap sasa [emoji38][emoji1787]
Then nyamaza basi maana JPM alilazimisha hii maneno ya Isaka on his personal interest na kusahau shorter distance to the Indian Ocean n inland waterlink within L. Tanganyika that will cover the larger eastern DRC and the mistrusts other partners have towards Rwanda! Juzi Tshisekedi kailalamikia Rwanda kwenye speech ya kujiunga EAC!
 
eti ninyamaze whoi [emoji1787][emoji1787]
the fact is line 2 is shorter and more profitable than line 1
View attachment 2209881
Tumia macho yako na kujiuliza kama ramani ipo right scale? Na mbona DRC anaungana na Burundi badala ya Rwanda? Kingine Isaka Tabora link unamuachia nani kwenye mchoro wako?



 
Sgr yetu itaenda mpaka kigoma phase 6 hiyo port itakuwa served vizuri tuu. Kuweka sgr isaka keza hakumaanishi kuwa sgr haitaenda kigoma. Infact pote palipopita mgr tanzania kutakuwa na parallel rail ya sgr hivyo sioni mantiki yako ya kuingiza kigoma port hapa wakati sgr itafika mpaka kigoma. My only argument ni kipande cha kigoma mpaka border ya Burundi 156km ni unnecessary cost unless wewe umetokea kigoma ndio maana unatetea huu upuuzi. Hapa tunaangalia proximity to all the markets including Uganda

Halafu hoja ya DRC kukwepa Rwanda haina mashiko maana ftom Keza kunakuwa na branch 2 moja via Burundi na nyingine via Rwanda ni choice ya DRC kuunga from either Rwanda au Burundi
 
Sasa mbona hawajajiunga na Rw? Na mchakato wa Keza upo kabla? Na Katosho dry port? Hivi ni our partners wanaamua SGR ipite wapi au sisi?

 
Sasa mbona hawajajiunga na Rw? Na mchakato wa Keza upo kabla? Na Katosho dry port? Hivi ni our partners wanaamua SGR ipite wapi au sisi?

Initial plan ni Isaka Keza hata feasibility study ishafanyika na iko kwenye financing stage. Kama sikosei serikali ilishateua kampuni ya nje last year kwa ajili ya kusimamia mchakato wa financing.
 
Initial plan ni Isaka Keza hata feasibility study ishafanyika na iko kwenye financing stage. Kama sikosei serikali ilishateua kampuni ya nje last year kwa ajili ya kusimamia mchakato wa financing.
Inajengwa ya Uvinza-Msongati-Gitega-Kindu sasa! Endelea kubisha!


 
Inajengwa ya Uvinza-Msongati-Gitega-Kindu sasa! Endelea kubisha!


Hii line Congo na Burundi wame gang up ku sideline Rwanda na kama partner states ndio malengo yao there is nothing we can do hence may be Burundi will be at the center of traffic to and from RDC, Rwanda and Tanzania . But this arrangement itatucost sana tutakapo taka kuunganisha Uganda kwenye sgr kutakuwa na kipande kikubwa sana cha kujengwa unless otherwise traffic ys Uganda ipitie Burundi na Rwanda mpaka Uganda na hapo Ndio tunampa Northern corridor nafasi ya ku fill the gap na kuunganisha reli yao mpaka Rwanda kupitia Uganda
 
Tatizo ni Kagame hayuko trust worthy na kuna mistrusts towards him from DRC. There is nothing we can do about! Rwanda haiwezi kuendelea kutuchelewesha! Akiwa tayari ata-join! Kingine route ya Keza-Isaka ni ndefu kwa Burundi.
 
Mbona danganyika inatumia picha za Kenya sgr mtungi wa changaa kuonyesha maendeleo ya SGR yao ambayo imekwama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…