Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ukweli usiuite wivu. Uchumi wa Tanzania uko concentrated along the coast. Dar na Zanzibar. Tanganyika hakuna kitu isipokua vijiji.
Acha ku display your ignorance hapa. Embu pata kidonge kimoja kwanza kabla hatujaendelea.

 
Wivu unakuweka out of touch na reality.

Usijali utakuja kupiga picha kwenye electric trains zetu na utapiga picha ukiwa gorofani mwa treni zetu pia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari natumia sgr apa Kenya tangu 2017
 
Hiyo nayo ni SGR ukitoka Nairobi mpaka Mombasa hiyo treni yenu lazima ukaweke appointment kwa daktari wa masikio. [emoji16]
Tembea kenya upande uonee kama utaskia hizo kelele uliambiwa vijiweni
 
Tembea kenya upande uonee kama utaskia hizo kelele uliambiwa vijiweni
Fish joints kijana huwa zinapiga kelele. Huku hata MGR ni continuous welded mwendo wa kutekeza tuu. Kwahiyo ukae kwa kutulia tuu uwe mpole.
 
Fish joints kijana huwa zinapiga kelele. Huku hata MGR ni continuous welded mwendo wa kutekeza tuu. Kwahiyo ukae kwa kutulia tuu uwe mpole.
Ukiwa ndani ya treni hakuna kelele. Tanzania hakuna treni ya sgr sijui unabisha nini
 
Izo nchi 8 ndio zinafanya dar iwe nusu ya cargo ya Mombasa
Hii ndio SHITHOLE nilikuwa naongelea
 
Mines ambazo hazina pesa?
Dar ni nusu ya uchumi wa Tanzania, yani 50%. Zanzibar 30% alafu 20% ya uchumi ndio inabaki Tanganyika. Hii SGR inatoka Dar inaelekea Tanganyika ambako hakuna uchumi, abiria wala mzigo. Its a waste.
Uongo mtupu huu jielemishe kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…