Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Inachoma kama pasi

Cc Kafrican
 
Inakaa TRC wanapita humu ndani





MY TAKE
Haya madudu ya kununua vichwa viwili na mabehewa 30 (refurbished), yalifanyikaje kipindi cha malaika?
 
Inakaa TRC wanapita humu ndani





MY TAKE
Haya madudu ya kununua vichwa viwili na mabehewa 30 (refurbished), yalifanyikaje kipindi cha malaika?

Geza utabadilisha sana goli kwa ajili ya chuki zako na huyo malaika. Ila ukweli bila yeye tungekua na mtungi wa chang’aa kama jamaa zako wa 54. Hivyo vichwa na mabehewa wamenunua wazee wa asali. Bila kumuondoa chapombe kadogosa hiyo reli itaanza kazi 2033 uko. Ukibisha weka dau tubet
 
Kadogosa aliwekwa na nani pale?
 
Kwa hiyo aliyemuweka ndo aje amtoe? Mbona unakua na akili za (kipumbavu.) hiyo ndo kauli unaipenda hivyo usione kama nimekutukana
Mimi kinachonishangaza ni hii transaction ya ununuzi wa mabehewa na treni chakavu ilifanyika chini ya uongozi wa Malaika kwa zaidi ya Tshs 26 bln! Na hamna kilichofanyika kwa wahusika, au ndo wale untouchables wa Sukumagang? Kadogosa anatakiwa ajiuzulu kwa huu uzembe!
 

Geza kadogosa anajua ukweli hizo trein sio zilizonunuliwa Ndo maana hawezi kutolewa hapo ili kulida maslahi yao. Watu wamebadilisha dill ili wapige hela. Fungua macho mzeebaba
 
Geza kadogosa anajua ukweli hizo trein sio zilizonunuliwa Ndo maana hawezi kutolewa hapo ili kulida maslahi yao. Watu wamebadilisha dill ili wapige hela. Fungua macho mzeebaba
watu wepi hao? Waziri kabla ya Mbarawa yaani Chamuriho? Narudi kulekule untouchable Sukumagang wa JPM? Kumbuka jamaa wa TPA CEO Kakoka pia!
 
watu wepi hao? Waziri kabla ya Mbarawa yaani Chamuriho? Narudi kulekule untouchable Sukumagang wa JPM? Kumbuka jamaa wa TPA CEO Kakoka pia!

Unaamini nchi hii kuna watu untouchable? Na kama una amini hivyo una hisi kwa nini wanakua na nguvu kiasi hicho? Kuna siri wanajua kuhusu nchi? Wana hela sana? Au wanajeshi kwamba wanaweza kuipindua nchi? Mbona kakoka aliondolewa TPA na alikamatwa hata kama hajafikiswa mahakamani. Na kwa nini uhisi kipindi cha chamuhilo na sio kamwele? Au wote kwa pamoja.
 
Mimi nimeangalia Tarehe za Manunuzi, kama umeona kipindi hicho alikuwapo Kamwele weka vielelezo! Inawezekana pia!
 
Mimi nimeangalia Tarehe za Manunuzi, kama umeona kipindi hicho alikuwapo Kamwele weka vielelezo! Inawezekana pia!

Geza ukiona watu wanamsema mama kua ni dhaifu usione kama wote wanaosema ni sukumaG. Inshu kama hizo za trein na mabehewa ilibidi aonyeshe kweli yeye ndo top. Anashindwa nini kuwaajibisha hao watu? Ata ujenzi kuchelewa ilibidi kadogosa na team yake yote wasiwepo ofisini hadi sasa. Malaika na kupenda kwake sifa sizani Kama angekubali kununua mabehewa na train yaliyochoka. Kama kweli unaishi Tanzania suala la watu kufoji documents kwa maslahi yao sio geni. Kama walibadilisha report ya CAG watashindwa nini kubadilisha documents za TRC ili kumwangushia jumba bovu malaika? Na ukizingatia rais ni (mdebwedo) wa maamuzi magumu
 
nimekuelewa ngoja tuone mama akitoka Hija labda atakuwa na nguvu za kutengua pale TRC!
 
electrical SGR Morogoro-Dodoma-Makutupora; 86% done and counting...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…