Shillingi ngapi imeibiwa embu tuwekeeni hapa kwa faida ya wote.ofcourse Kadogosa ni mwizi! nilipigania sheria kufuatwa yaani tender be floated and fair bidding allowed, mkaniona mjinga mkaja na ati inapoteza muda, ati single source is the way forward kwa vile hakuhitaji mobilization! Upigaji wa Kunyaland ndo huo umekuja!
Why SGR tender is bone of contention for state entities
The multi-billion-dollar tender for lots 3 and 4 of Tanzania’s standard gauge railway (SGR) project has turned out to be a serious bone of contention for two key government entities.www.thecitizen.co.tz
CC: Simon, The best 007
hivi unajua kila section ina mtu wa kukagua kama reli ipo sawa?Ajali ya treni imetokea Tabora eneo la Malolo muda huu. Majeruhi wanapelekwa hospitali. Idadi ya vifo haijajulikana Hadi muda huuView attachment 2268757
sikiliza Mbunge anachosema kwenye hiyo bajeti! Uitafute uone gharama zilivyopanda!Shillingi ngapi imeibiwa embu tuwekeeni hapa kwa faida ya wote.
Kuna watu walibisha humu wakaona ushauri wa PPRA wa kijinga! Halafu mabehewa yote yaliyokarabatiwa kwa gharama yanaharibiwa kwa sababu ya uzembe kwenye operations tunaambiwa hujuma na Kadogosa lakini hatuambiwi kila kipande kina uangalizi!Mi sielewi, ni vipi kampuni ambayo tayari ina equipments na labors na iko site tayari which means hata gharama za mobilization zitakuwa ndogo inabid higher kuliko kampuni ambayo haiko site na itahitaji kufanya mobilization? PPRA wameshauri vizuri sana alafu TRC wakatuuza.
pia Nairobi ndio Kenya nje ya hapo labda TurkanaDar ndio kila kitu Tanzania. Nje ya hapo ni vijiji tu
ELECTRIC DOUBLE STACK CONTAINER TRAIN
Empty containers direction Mombasa port!
SGR ya Danganyika haitawahi beba double stack containers [emoji23][emoji23] ata kurudisha kwa port haitawahiEmpty containers direction Mombasa port!