Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hizi screens huenda zilitolewa before shipping ili ku avoid theft during shipping and handling at the port. Zikiwa under TRC wataziweka na ku reinforce zisiweze kuibiwa kirahisi. Ingekuwa jambo la ajabu sana umwambie mkandarasi wa Ujerumani akutengenezee grill ya kulinda screen lakini hapa bongo fundi Maiko ni rahisi kumpa kazi hiyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizo screens zitakuwa zimeibiwa bandarini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi tulimpinga sana huyu mama kwakua tunajua A-Z, kuwa hawezi kudeal na wezi. Angalia kinachotokea sasa!

Ingieni twitter na kwingine zirudishwe huko Ujerumani.
 
Bro minakuhakikishia hatakama zkirudishwa bado hizo behewa kwa ujumla hazitadumu
 
Kinachokufanya useme hazitadumu ni nini?
TRC ni moja ya mashirika yanayoendeshwa hovyo
Tumeshindwa kuendesha Loco za MGR karibu zote zimesimama adi leo ninavyo andika hapa 90% ya loco zinazofanya kazi ni zile loco91 class alizo nunua Magu last time tena ziko tatu tu
Adi sasa taarifa niliyonayo ni kwamba 50% ya 88 class ya zilizokua remanufactured pale Karakana ya Morogoro zimepaki na haijulikan lini zitatembea tena
 
Wacha ushamba nawe grill ya nn wakati kuna cctv na milango ndani? Kwani screens za mabasi ya mikoani na ya wagons za Mkorea zikoje?
 
Wacha ushamba nawe grill ya nn wakati kuna cctv na milango ndani? Kwani screens za mabasi ya mikoani na ya wagons za Mkorea zikoje?
Believe me wakiziweka hizo screens wataweka grill wait and see. Maana hizo screens watakazoweka ni zile ambazo zitaweza kutumika hata majumbani na waafrika ustaarabu ulivyokuwa mdogo hawakawii kuzingoa.

Zile za mkorea na za ma bus ya mkoani ni screens specific kwaajili ya usafiri wa abiria huwezi ukazitumia majumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…