Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Akili zako zimepitwa na wakati🙂tuliza mshono ww. report ipi mbona huileti hapa.
Kenya Is The First African Country To Introduce Double Stack Railway Service
Kenya is the first country in Africa to introduce double-stack railway container services. Double stack trains are modern cargo trains that carry two layers of containers on top of the other and are capable of moving more than one hundred containers at a time. See Also: Jonathan & Buhari: See...autojosh.com
Hizi ni porojo! Ati September? 5 years from now itaendelea kuwa porojo!everything is in place. time will telll. nyie mumekurupuka narudia tena, nyinyi mumekurupuka
View attachment 2987846View attachment 2987852
😂😂😂 kuna lipuuzi limoja lilivuka mipaka na kuanza kuleta nyimbo za China na Japan. nikamwambia akome kabisa na akae mbali na Japan maana sio rika lake, akabishane na Burundi ndio wanaendana. sasa ndio najaribu kumueka sawa hapa hapa karibu, bara la Afrika. haina haja aende mbali.Utabakia kuonesha treni za watu tuu zilizoenda shule. Tuwekee kibwagizo kdg basi cha lile nginjangija tucheke kidogo.
mukikosa hoja, munaanza kurusha mitusi 🤣🤣🤣🤣🤣I cannot concur na mawazo ya kipunguani. Wewe hauko sawa naona kunya kwenye mfuko wa nylon kumekuathiri sana.
💉💉💉Akili zako zimepitwa na wakati🙂
Your current mental state is worrisome.mukikosa hoja, munaanza kurusha mitusi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ww nilikwambia uache kuota ndoto za mchana, ukaniskiza. jana naamini ulikuwa sober kabisa ukakubali maneno yangu. sasa leo..... [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.jamaa umepanic. tushaelewana na Kosugi kuwa kuwa hizi high speed/ electric trains mara nyingi zinatumika kutoka point A to point B (intercities) mainly for passengers (mass transportation). mara nyingi zinakuwa 200 to 400kms ambapo kama Nairobi na Mombasa ikiunganishwa inaweza make sense kwa ni majiji ya kueleweka.
tuchukulie mfano tu Dar to Dodoma... hebu niambie Dodoma kuna mpango gani.
ndio kwa maana nasema nyie mumekurupuka kujenga 10,000kms ya Big White Elephant.
View attachment 2987561View attachment 2987562
waregeshee wajerumani double decker yao. ww ndio bado unajifanya kichwa ngumu wakati wenzako wote wameelewa. endelea kujifanya chiziWewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.
Hii mashine hapa chini bado iko Germany. Endelea kuumia.
View attachment 2988051
iko wapi?Tanzania kweli ni wanaume yani walikaa mataifa 4 ya kichovu wakatengeneza ngombe mgonjwa CoW mpaka leo hajazaa ila mwamba mmoja wa kusini katandika reli kote sio ziwa victoria wala Tanganyika tuu bali mpaka Burundi na RDC. Big up my country kweli JIDIPII yetu ni 200bn USD.
tuliza akili yako uwache mapepe.Wewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.
Hii mashine hapa chini bado iko Germany. Endelea kuumia.
View attachment 2988051
Wewe ni mpumbavu kama source yako ya habari ni some controversial accounts za twitter zisizo na credibility zozote. Nikuulize, kwanini uamini hii account ambayo imeandika tu bila uthibitisho wowote kuback up hizo claims?tuliza akili yako uwache mapepe.
nataka uniambie ni nini inaendelea hapa na nani yuko na roho ya korosho 👇
View attachment 2988127View attachment 2988128View attachment 2988129View attachment 2988130
tatizo lako ni kuwa unajibu kwa hisia kali sana. punguza jazba dogo. coodip1 na Kosugi wote wananielewa na wanajua historia.Wewe ni mpumbavu kama source yako ya habari ni some controversial accounts za twitter zisizo na credibility zozote. Nikuulize, kwanini uamini hii account ambayo imeandika tu bila uthibitisho wowote kuback up hizo claims?
Sidhani kama unaelewa sababu za kuvunjika kwa EAC miaka ya 1970s. Huna unaweza kunifundisha juu ya hilo.
kidSidhani kama unaelewa sababu za kuvunjika kwa EAC miaka ya 1970s. Huna unaweza kunifundisha juu ya hilo.
Get lost!
Wivu wa kike nani kamzuia mwenzie access ya cargo flights?
Huyu nyang'au alikuwa bado hajazaliwa.😎Sidhani kama unaelewa sababu za kuvunjika kwa EAC miaka ya 1970s...
Anasoma tu vihabari vya hovyo hovyo vya kuokoteza na kuvileta hapa.Huyu nyang'au alikuwa hajazaliwa.😎
How do you know that, are you this stupid?