Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

tuliza mshono ww. report ipi mbona huileti hapa.
Akili zako zimepitwa na wakati🙂
 
Utabakia kuonesha treni za watu tuu zilizoenda shule. Tuwekee kibwagizo kdg basi cha lile nginjangija tucheke kidogo.
😂😂😂 kuna lipuuzi limoja lilivuka mipaka na kuanza kuleta nyimbo za China na Japan. nikamwambia akome kabisa na akae mbali na Japan maana sio rika lake, akabishane na Burundi ndio wanaendana. sasa ndio najaribu kumueka sawa hapa hapa karibu, bara la Afrika. haina haja aende mbali.
 
I cannot concur na mawazo ya kipunguani. Wewe hauko sawa naona kunya kwenye mfuko wa nylon kumekuathiri sana.
mukikosa hoja, munaanza kurusha mitusi 🤣🤣🤣🤣🤣
ww nilikwambia uache kuota ndoto za mchana, ukaniskiza. jana naamini ulikuwa sober kabisa ukakubali maneno yangu. sasa leo..... 😂😂😂
 
mukikosa hoja, munaanza kurusha mitusi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ww nilikwambia uache kuota ndoto za mchana, ukaniskiza. jana naamini ulikuwa sober kabisa ukakubali maneno yangu. sasa leo..... [emoji23][emoji23][emoji23]
Your current mental state is worrisome.
 
Tanzania kweli ni wanaume yani walikaa mataifa 4 ya kichovu wakatengeneza ngombe mgonjwa CoW mpaka leo hajazaa ila mwamba mmoja wa kusini katandika reli kote sio ziwa victoria wala Tanganyika tuu bali mpaka Burundi na RDC. Big up my country kweli JIDIPII yetu ni 200bn USD.
 
jamaa umepanic. tushaelewana na Kosugi kuwa kuwa hizi high speed/ electric trains mara nyingi zinatumika kutoka point A to point B (intercities) mainly for passengers (mass transportation). mara nyingi zinakuwa 200 to 400kms ambapo kama Nairobi na Mombasa ikiunganishwa inaweza make sense kwa ni majiji ya kueleweka.
tuchukulie mfano tu Dar to Dodoma... hebu niambie Dodoma kuna mpango gani.
ndio kwa maana nasema nyie mumekurupuka kujenga 10,000kms ya Big White Elephant.
View attachment 2987561View attachment 2987562
Wewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.

Hii mashine hapa chini bado iko Germany. Endelea kuumia.
1715438903254.png
 

Attachments

  • 1715438854927.png
    1715438854927.png
    1,000.2 KB · Views: 4
Wewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.

Hii mashine hapa chini bado iko Germany. Endelea kuumia.
View attachment 2988051
waregeshee wajerumani double decker yao. ww ndio bado unajifanya kichwa ngumu wakati wenzako wote wameelewa. endelea kujifanya chizi
 
Tanzania kweli ni wanaume yani walikaa mataifa 4 ya kichovu wakatengeneza ngombe mgonjwa CoW mpaka leo hajazaa ila mwamba mmoja wa kusini katandika reli kote sio ziwa victoria wala Tanganyika tuu bali mpaka Burundi na RDC. Big up my country kweli JIDIPII yetu ni 200bn USD.
iko wapi?
 
Wewe ni mkumbafu aliyeacha akili yako iendeshwe na wivu. Vimradi vya hovyo hovyo kama hivyo vya SGR Morocco 290km, South Africa 52km, Senegal 33km, Kenya 400km ndio vya passenger trains. Yetu ni both has mizigo ya ndani na nje ya nchi.

Hii mashine hapa chini bado iko Germany. Endelea kuumia.
View attachment 2988051
tuliza akili yako uwache mapepe.
nataka uniambie ni nini inaendelea hapa na nani yuko na roho ya korosho 👇
IMG_20240511_185357.jpg
IMG_20240509_124938.jpg
IMG_20240509_125141.jpg
IMG_20240509_125219.jpg
 
Wewe ni mpumbavu kama source yako ya habari ni some controversial accounts za twitter zisizo na credibility zozote. Nikuulize, kwanini uamini hii account ambayo imeandika tu bila uthibitisho wowote kuback up hizo claims?
tatizo lako ni kuwa unajibu kwa hisia kali sana. punguza jazba dogo. coodip1 na Kosugi wote wananielewa na wanajua historia.
sasa nikuulize, how old are you?
hivi hujui kuwa miaka yote Tanzania imekuwa na wivu wa kike hadi kusababisha kuvunjika kwa EAC miaka ya sabini?
wacha mapepe.
 
tatizo lako ni kuwa unajibu kwa hisia kali sana. punguza jazba dogo. coodip1 na Kosugi wote wananielewa na wanajua historia.
sasa nikuulize, how old are you?
hivi hujui kuwa miaka yote Tanzania imekuwa na wivu wa kike hadi kusababisha kuvunjika kwa EAC miaka ya sabini?
wacha mapepe.
Sidhani kama unaelewa sababu za kuvunjika kwa EAC miaka ya 1970s. Huna unaweza kunifundisha juu ya hilo.
Get lost!
 
tatizo lako ni kuwa unajibu kwa hisia kali sana. punguza jazba dogo. coodip1 na Kosugi wote wananielewa na wanajua historia.
sasa nikuulize, how old are you?
hivi hujui kuwa miaka yote Tanzania imekuwa na wivu wa kike hadi kusababisha kuvunjika kwa EAC miaka ya sabini?
wacha mapepe.
Wivu wa kike nani kamzuia mwenzie access ya cargo flights?

 
Back
Top Bottom