Mbona 2021 ni data za nyuma sana weka za 2023 tuone growth [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitu chenye advanced technology kinahitaji test za kutosha .leo imeenda ruti ngapi? mutashangaa mukija ipata imejawa kutu. endeleeni kutesti miaka nenda rudi wakati sisi huku tunachana mbuga
Wewe huna akili. Burundi na Tanznia na Congo tayari wamesha secure funds za kuanza ujenzi. Hii ni future alternative ambayo hawataweza kuimplement anytime soon.nilishakwambia, sio mm niliochagua. Ugandans have already decided, and so are Rwanda, Burundi, Drc, SS..... wote wameona kuwa the Kenyan route is the way to go. tried, tested and proven.
hii reli ingine ya 'centro' ni mdebwedo tupu. testing mtu unafanya miaka kumi π€£π€£π€£. wacheni kuzingua!
View attachment 2989177
kwaio za 2023 ndio zinaonesha mumetupita au? sio lazima nikuwekee kila kitu, hata ww unaweza weka tuMbona 2021 ni data za nyuma sana weka za 2023 tuone growth [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
boya sana ww. ndege na treni, wapi na wapi? naona umeanza kurukwa na akiliKitu chenye advanced technology kinahitaji test za kutosha .
Angalia spacex rockets , Hata ndege angalia .
Toroli au mkokoteni au gari moshi ni low technology inatengenezwa na kurushwa Kwenye njia itembee hakuna haja ya test πππππ
wishful thinking.Wewe huna akili. Burundi na Tanznia na Congo tayari wamesha secure funds za kuanza ujenzi. Hii ni future alternative ambayo hawataweza kuimplement anytime soon.
Nafikiri utakuwa unakunywa changβaa , kwa akili yako electric train yenye kasi ya 160 kms per hour sio advanced technology?boya sana ww. ndege na treni, wapi na wapi? naona umeanza kurukwa na akili
Source yako ni chanzo !!! ππ
kichaa katika ubora wake! ww ni kituko. dude linatembea 38km/hrNafikiri utakuwa unakunywa changβaa , kwa akili yako electric train yenye kasi ya 160 kms per hour sio advanced technology?
lete yako tulinganishe ππSource yako ni chanzo !!! ππ
wacheni kiherehere... munadhani hii ni kama barabara ya kuelekea Zambia ati mutafunga mipaka?Kwani hamkusaini hapo mwanzo mlipoanzisha CoW [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa anaongelea modern technologies kwa train na ndege sasa nini kinakuwasha?boya sana ww. ndege na treni, wapi na wapi? naona umeanza kurukwa na akili
ni kitu gani kiko modern hapa πHapa anaongelea modern technologies kwa train na ndege sasa nini kinakuwasha?
Simple transport systems kama matoroli, mikokoteni, magari, garimoshi na mengineyo hayahitaji testing nyingi
Hakipo. Vyote ni vitu vya kizamani sana. Sasa umefurahi?ππni kitu gani kiko modern hapa π...
Huyo anatafuta Mazoba walio mbali kama wewe halafu anawadanganyakichaa katika ubora wake! ww ni kituko. dude linatembea 38km/hr
View attachment 2989582
kuna technology gani sasa hapo ww. aisee, ficha upumbavu wako sometimes.
sasa kwa mfano mungepata ile ya Morocco @ 320km/hr si mungetunyelea vichwani humu π€£π€£π€£π€£π€£. amka tafadhali
Huu unaitwa wivu.
open your eyesHuu unaitwa wivu.