Railway tracks without supporting infrastructure kama electric poles na catenary cables looks wierd π
View: https://youtu.be/0PBiEhJWhL4?si=ivrDDom4k1TyN4ZS
CNGT wanatumia clip za video za SGR ya Tz baada ya kenya
Reli yao ni fish plates kwa kwenda mbele nginjanginjaGeza Ulole
Hivi kenya wao railway track yao kwenye junction ya vyuma vya reli wame welding kweli?
View attachment 2999046
Au wanatumia mfumo wa zamani
View attachment 2999047
Lazima itakuwa inamtikisikoReli yao ni fish plates kwa kwenda mbele nginjanginja
Basi lao moja limepata ajari leo
Na makelele mengi ndio maana ikaitwa nginjanginja π€£π€£π€£Lazima itakuwa inamtikisiko
HATA train za kenya sina uhakika kama Zina air condition.Na makelele mengi ndio maana ikaitwa nginjanginja π€£π€£π€£
Ivi mkuu hii ni story za kisiasa au uhalisia? Sasa ivi tunaskia Mkandarasi amesimamisha wafanyakazi wote lot 3 alafu wewe unasema mradi utaisha mwaka 2026 wakati hata 20% ya mradi haijafika? Au hiki kitu haujui? Au unakua kama mbuni anaejificha kichwa huku kiwili wili chote kipo nje?Huku Kazi inapigwa Kenya endeleeni na siasa
Hakuna haja ya kudanganya watu hapa wakati mradi wafanyakazi wote lot 3 wamesimamishwa kazi kwa muda usiojulikana na mradi hata 20% haujafika, Tuache propaganda rahis.. Labda kama unatafuta alama tatu hapakule ni kushangilia committment ya mchina kwenye majadiliano ya kupewa mkopo!
View: https://x.com/WizarayaUC/status/1792588878676660462
hawa wanaishi kwenye ndoto/ dreamworld/ fantasyland/ slumberland/ imagination... e.t.c. yamekuwa kama mazombie πππ. machawa grade 1. hawataki kabisa kukubaliana na reality on the groundIvi mkuu hii ni story za kisiasa au uhalisia? Sasa ivi tunaskia Mkandarasi amesimamisha wafanyakazi wote lot 3 alafu wewe unasema mradi utaisha mwaka 2026 wakati hata 20% ya mradi haijafika? Au hiki kitu haujui? Au unakua kama mbuni anaejificha kichwa huku kiwili wili chote kipo nje?
Hazina HVAC system. Madirisha yanafunguka.HATA train za kenya sina uhakika kama Zina air condition.
This is typical Kunyaland SGR π€£π€£π€£hawa wanaishi kwenye ndoto/ dreamworld/ fantasyland/ slumberland/ imagination... e.t.c. yamekuwa kama mazombie πππ. machawa grade 1. hawataki kabisa kukubaliana na reality on the ground
View attachment 2999841
Kwahiyo kila MTU twitter ni mfanyakazi wa SGR slot flani??
Hivi Jamani rwanda na Burundi wataitaji treni za abilia kweli maana kutoka mpka mpk kwenye mji mkuu ni 100km tuu. Hii imekaaje?Hazina HVAC system. Madirisha yanafunguka.
mkuu! ondoa shaka kuhusu hilo! cheki hapa route watakayotumia Burundi... strategic points only... iwe cargo au passengers,,, wako sorted πHivi Jamani rwanda na Burundi wataitaji treni za abilia kweli maana kutoka mpka mpk kwenye mji mkuu ni 100km tuu. Hii imekaaje?
Labda baada ya miaka ishirini ijayo. Sasa hivi hiyo ni ndoto tuπmkuu! ondoa shaka kuhusu hilo! cheki hapa route watakayotumia Burundi... strategic points only... iwe cargo au passengers,,, wako sorted π
View attachment 3000594