Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tuko tayari 😊
GOUvGR0XMAAwz8u.jpeg

IMG_20240522_182149.jpg
 
Huku Kazi inapigwa Kenya endeleeni na siasa
Ivi mkuu hii ni story za kisiasa au uhalisia? Sasa ivi tunaskia Mkandarasi amesimamisha wafanyakazi wote lot 3 alafu wewe unasema mradi utaisha mwaka 2026 wakati hata 20% ya mradi haijafika? Au hiki kitu haujui? Au unakua kama mbuni anaejificha kichwa huku kiwili wili chote kipo nje?
 
Ivi mkuu hii ni story za kisiasa au uhalisia? Sasa ivi tunaskia Mkandarasi amesimamisha wafanyakazi wote lot 3 alafu wewe unasema mradi utaisha mwaka 2026 wakati hata 20% ya mradi haijafika? Au hiki kitu haujui? Au unakua kama mbuni anaejificha kichwa huku kiwili wili chote kipo nje?
hawa wanaishi kwenye ndoto/ dreamworld/ fantasyland/ slumberland/ imagination... e.t.c. yamekuwa kama mazombie 😂😂😂. machawa grade 1. hawataki kabisa kukubaliana na reality on the ground
IMG_20240330_171728.jpg
 
Yani nchi zao sio kubwa kivile kutoka kigali mpk rusumo ni 100km.
Kutoka kigali mpk gisenyi mpk wa congo ni 100km , kwa makadilio sasa vipi kuna uhitaji wa treni za ability kweli hapo distance ndogo kabisa hizo,
 
Hivi Jamani rwanda na Burundi wataitaji treni za abilia kweli maana kutoka mpka mpk kwenye mji mkuu ni 100km tuu. Hii imekaaje?
mkuu! ondoa shaka kuhusu hilo! cheki hapa route watakayotumia Burundi... strategic points only... iwe cargo au passengers,,, wako sorted 👇
IMG_20240527_124951.png
 
Back
Top Bottom