Saa hii wanakula hedex kama hawana akili nzuri π€£π€£π€£π€£Sijui Lewis254 na kaka zake akina BoniYai na Mdude wanajisikiaje wakiona hivi, ha ha haπ
View: https://m.youtube.com/watch?v=1utnY8C98FA
Wale hawana akili!Sijui Lewis254 na kaka zake akina BoniYai na Mdude wanajisikiaje wakiona hivi, ha ha haπ
View: https://m.youtube.com/watch?v=1utnY8C98FA
Sisi tunajitambua mkuuNakumbuka train ya kenya wafanyakazi wa ndani wale akina dada walifundishwa na watching.
Nimeshangaa sana yani kugawa juice tu ndani ya train wanafundishwa na watching.
Huku kwetu dadaz wetu hawajafundishwa na raia wa kigeni.
Yani hata train ya kenya for the first time ziliendeshwa sana na watching mpk safari zinaanza wachina walikuwepo wanacontrol mitambo.
Ila yetu huku tofauti kidogo
kweli kaka.
π€£π€£ mbona 6 ni mingi sana bro???Tuko paleee tunawasubiri watuite mbwa ππ baada ya miaka 6
πππ
Naona uneshajikatia tamaa mapema and resigned yourself to fate π€£π€£π€£π€£kweli kaka.
Kwani mlivyokuwa mna enjoy inauguration ya SGR yenu sisi tuliongea? Mbona sisi tuki enjoy SGR yetu imekuwa nongwa tena? Wacheni tu enjoy vya kwetu msitubugudhi tafadhali.