Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #16,841
kipindi cha mvua itakuaje abilia si wataloa
kwani huoni canopy shade?kipindi cha mvua itakuaje abilia si wataloa
Mkuu sasa hapo kenya wanatumia diesel train , Uganda electric train.
Hakuna power cuts during the journey hizo kwa electric trains ni normal they are called neutral zones.Kuna wakenya tayari wameshaanza kushangazwa na sgr ya umeme😥😎
View: https://m.youtube.com/watch?v=886LVKcMQn4&t=3s
Kakubali mziki huyu nyangau 🤣🤣🤣Kuna wakenya tayari wameshaanza kushangazwa na sgr ya umeme😥😎
View: https://m.youtube.com/watch?v=886LVKcMQn4&t=3s
unashangaa treni?! 😳Yani leo nimeliangalia limenivutia kwa macho sana, tena sana.
Kwani kuna ubaya?unashangaa treni?! 😳
siku ya kulipanda si atavua viatu kabisa. nimemshangaa sana huyo jamaa.Kwani kuna ubaya?