Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ikiwa mpyaa!
hapo ilikua November 2016

ukiangalia vizuri hapo pahala paliposombwa utapata ndio kwanza ujenzi ulikua umefikia hapo na hilo tuta lilikuwa bado halijawekewa 'protection' yoyote... yani mkandarasi alipatikana akiwa 'off-guard' na mvua. kisha we huna macho? huoni culvert hapo kuashiria njia ya maji kupita?
 
Umetumia tena picha ya 2016 ambapo sgr ilikua inajengwa na kukawa na mafuriko..... Hata ukiañgalia slop protection ilikua bado.... Mmeshindwa kujibu maswali kabisa....
hii mijitu iliyopo hapa ni misukule 😂😂😂 halafu ni ving'ang'anizi balaa. picha moja hio miaka kumi imepita bado wanaikomalia tu.
mi nawaonyesha picha ya leo leo 👇

wamejenga tuta hafifu sana. ukilipiga teke linadondoka lote kisha fala mmoja ananiambia ndio itakayobeba 2km length of stupidity..... 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hao ndio wanaomomonyoa hizo sehemu kwani fencing bado huko au kuna kivuko cha juu cha magari kinajen gwa
Geza Ulole
Anakaa tuu ila hizo picha nimechukua tarehe 21.
Ukienda gongolamboto kwa nyuma kule fenci hakuna fensi ipo kuanzia maeneo ya karibu na Mombasa kwenda mbele mpk maeno ya Tazara pale reli inapopanda juu.

Jana niliona watu wanakaa tuu kwenye mimi mwenyewe nikatembe kati kati mwa reli
👇
Your browser is not able to display this video.


Ila nilivyoenda kwa mbele zaidi ndo nikaona gari linashusha nguzo kwa ajiri ya fensi 👇

Ila lile eneo watu wanavuka sana ,
Naamini kipindi wanajenga hawakufikilia kuhusu watu kuvuka.
Ila kama wakiziba pale basi daaa watu watazunguka sana kwenda upande wa 2 basi waende ukungo gerezani kule ndo wakavuke maana kuna daraja na treni limepita chini , au waenda karibu na maeno ya jeshi pale ambapo treni limepita juu magari yanapita chini.
Itakuwa shida kweli kweli.

Eneo lile wanapita watu wengi sana ndo maana mpk kokoto zimetoka.
 


Hata iko juu hawakuangalia.
Mvua ikinyesha watu watapandaje, na watashukaje.

Au ndo ile wanapanda mabehewa yalioyoko shade board na kutembea ndani kwa ndani mpk behewa la mwisho.
Au ndo ile tutajifunza baada ya hali kutokea?.
 
Kwahiyo pale ukunyani kuna canopy roof ya urefu wa mabehewa 15! Incase of rain Hiyo treni inaweza kuwa-boarded from those few coaches with overhead roof!
 
#Rutomustgo😎
 
Kwahiyo pale ukunyani kuna canopy roof ya urefu wa mabehewa 15! Incase of rain Hiyo treni inaweza kuwa-boarded from those few coaches with overhead roof!
Sasa ya kenya mi yanini mimi jimezungumza huku, kwa hio wakenya wakinyeshewa mvua na sisi iwe hivyo hivyo??
Nimeona mpk dodoma hivyo hivyo.



Mabehewa 14 yanatosha hako kaeneo.

Si mabehewa 3 tuu. Mengine yote yapo nje.
Kuna makosa madogo madogo hamtaki kukubali.

Kama mlijua kuwa kutakuwa na tteni la mabehewa 14 kwa nini msingeweka ???
 
View attachment 3023449
Kenya hio hata mvua ikinyesha watu hawaangaiki sana.
TRC walishidwa nini ?
umefanya vizuri sana. hio ndio anataka kufananisha na hiki kituko 👇

nimehesabu behewa saba ziko peku, kisha 8,9,10 ndizo zina afadhali. behewa za mwisho zilizobakia pia naona abiria watajipanga na miavuli na ma-raincoat.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 ni sample tu, kuonesha what a real canopy looks like 👇








ukweli ukianza kufichuka namna hii, katu hutomwona yule domokaya coodip1. hataki kujadili vitu vilivyopo, anataka tujadili mawazo yake/ vitu alivyoviota ndotoni. jamaa mmoja very bogus 🤣
 
Treni ya mabehewa yasiyozidi 6!
 
Hamna roof ndefu namna hiyo platform zote duniani usiwe bwege!
Punguza hasiri maana naona tuu mara uniambie nitaiba, mara bwege. Ndo shida yenu.

Kwa hio watu wa UK , India, France huko wakinyeshewa na mvua na wetu huku wanyeshewe??
 
Punguza hasiri maana naona tuu mara uniambie nitaiba, mara bwege. Ndo shida yenu.

Kwa hio watu wa UK , India, France huko wakinyeshewa na mvua na wetu huku wanyeshewe??
Kila behewa Lina milango mbele na nyuma kuwezesha kuingia na kutoka behewa lingine! Again wacha ubwege!

Vitu vya kawaida kwa roof kuto-cover the whole platform duniani! Vitreni vyenu vifupi pale Ukunyani vidikufanye ufikiri tunalingana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…