Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
hapo ilikua November 2016Ikiwa mpyaa!
ukiangalia vizuri hapo pahala paliposombwa utapata ndio kwanza ujenzi ulikua umefikia hapo na hilo tuta lilikuwa bado halijawekewa 'protection' yoyote... yani mkandarasi alipatikana akiwa 'off-guard' na mvua. kisha we huna macho? huoni culvert hapo kuashiria njia ya maji kupita?