wala usitamani kuiona kaka. mimi toka niione hapa baada ya mdau mmoja kupost picha kutoka maeneo ya Gongo La Mboto toka io siku naskia kutapika ๐คฎAiseee hivi hii reli inapita wapi wadau sijawahi kuiona
endelea kujifanya chiziHapa Afrika kwa masuala ya tiba ni Afrika kusini pekee ndio wanatuzidi.
Kama masuala ya mifupa MOI ni kitengo kikubwa cha mifupa Afrika mashariki na kati ni S.A tu wanatuzidi.
Kama kitengo cha moyo JKCI ndio kitengo kikubwa cha moyo na kilichofanya upasuaji mwingi uliofanikiwa baada ya za S.Afrika.
Hao Wakenya wenyewe wanakuja kupata matibabu huku.
Ficha hiyo tarehe basi. Jan 22, 2018, kweli?๐View attachment 3032909
๐๐๐๐๐คญ
Yaani wewe nyang'au una matatizo makubwa sana๐tarehe haina shida yoyote. reli imejengwa miaka kumi, hakuna picha inayotumwa humu kumbe mainjinia ni watu ovyo kama yule psycho coodip1
๐คฃNa Bado zitakufa kama mabasi ya mwendokasi
umeandika kwa uchunguYaani wewe nyang'au una matatizo makubwa sana๐
Unaweza kuandika vyovyote unavyoona inafaa๐umeandika kwa uchungu
We utakuwa mgeni nchi hii, ni suala la muda tu.๐คฃ
una uhakika zinaenda kujifia zenyewe?
Kwa hiyo kama ni hivyo tusifanye kitu chochote kile kwa sababu kila kitu kitajifia tu. Akili gani hiyo?๐๐We utakuwa mgeni nchi hii, ni suala la muda tu.
Hio imeandikwa according to gvn, walivyosema na vyombo vya habari vyote wakasema hivyo.Lete taarifa kama hii niloleta mimi ikisema directly kuwa Magufuli alifia wapi.View attachment 3032880
Kweli wewe ni magonjwa mtambuka, na hayo magonjwa yameathiri ubongo wako, wapi nimesema pasijengwe?Kwa hiyo kama ni hivyo tusifanye kitu chochote kile kwa sababu kila kitu kitajifia tu. Akili gani hiyo?๐๐
Na ile ulioletwa imeandikwa according to who!?Hio imeandikwa according to gvn, walivyosema na vyombo vya habari vyote wakasema hivyo.
Usiwe kama unable wa mfinyu.
Hospitali gani haijaboreshwa!?Badala ya kubolesha hospital za huku, wanaacha mpk tukaumbuka.
Najifanya chizi ama nazungumza ukweli!?endelea kujifanya chizi
Hata private hawana cardiac institute!Najifanya chizi ama nazungumza ukweli!?
Kenya mna government cardiac institute kubwa kama ya JKCI!??
Hospitali zenu nzuri zote za PRIVATE.
Kuna moja ya wahindi wanayo.Hata private hawana cardiac institute!