[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa hiyo mmemlipa mchina pia hapo hapo mkailipa hiyo kampuni ya kenya kwaajili ya mitaro?Anyway,
phase 2A drainage works at +km 46 (kampuni za Kenya za kibinafsi ndo hupewa kandarasi za kujenga mitaro as part of local content)
Nategemea mengi kuyaona ikiwemo 2B,2C,2D,2E mpaka 2Z[emoji1][emoji1]Anyway,
phase 2A drainage works at +km 46 (kampuni za Kenya za kibinafsi ndo hupewa kandarasi za kujenga mitaro as part of local content)
Demand haikuhusu baba! Nyie wenye demand mbona returns ndogo? Mpaka sasa u r operating in a loss! Hata kama kutakuwa na hasara haiwezi kuwa kubwa kama Kenya maana procurement yetu ni way better! Kingine be assured operation costs zitakuwa chini pia!Tuanze na kitu muhimu kama projected cargo demand/capacity ya kila mwaka
Kilichotokea mchina hakujenga mitaro ndo maana sections zikazombwa![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa hiyo mmemlipa mchina pia hapo hapo mkailipa hiyo kampuni ya kenya kwaajili ya mitaro?
R u trying to brag on that transformer for supplying electricity for lights in the tunnel n signals? Wait to see massive stations to electrify the whole of SGR Tanzania!Cable laying and transformer installation at mid-point of ng'ong tunnel which is 4.5km long
Transformer Cavern at the mid-point of Ngong Tunnel
Kama ni hivyo watakuwa hawana akili.....ngoja anijibu tuone [emoji1][emoji1]Kilichotokea mchina hakujenga mitaro ndo maana sections zikazombwa!
Kumbe ni plan ikiwa cargo SGR bado inasua sua bei za transportation ziko juu ukiringanisha na trucksMombasa Port
Demand haikuhusu baba! Nyie wenye demand mbona returns ndogo? Mpaka sasa u r operating in a loss! Hata kama kutakuwa na hasara haiwezi kuwa kubwa kama Kenya maana procurement yetu ni way better! Kingine be assured operation costs zitakuwa chini pia!
On Wednesday Stiegler's Gorge is being signed!Magufulistan ...... hihihihihihihi.... Kila wiki mnawapatia jina lipia
Haujajibu swali, Hata bandari ya Kenya inapakua 30million tonnes kila mwaka, hauezi tarajia zote ziende na SGR, Kwa mfano Dar port mwaka jana ilipitisha 16 million tonnes, kuna tani million kadhaa zilibaki hapo Dar, alafu nchi jirani za SADC pia ni customer mkubwawa Dar port ,nchi hizo ziko upande wa kusini ambapo SGR haifiki, labda TAZARA....Hvi budaa hilo ni swali unaeza uliza??? Wewe unajua tanzania imezungukwa na nchi ngapi landlock countries demand ni kubwa sana sio tu kwenye cargo hata passengers still demand ni kubwa sana
Tuna operate at a loss kwasababu demand bado ni ndogo , relatively speaking ... No one expects us to make profit the first year for such a large project... once again ikijakwa tz sgr unaongea na wishful thinking badala ya takwimuDemand haikuhusu baba! Nyie wenye demand mbona returns ndogo? Mpaka sasa u r operating in a loss! Hata kama kutakuwa na hasara haiwezi kuwa kubwa kama Kenya maana procurement yetu ni way better! Kingine be assured operation costs zitakuwa chini pia!
Leta official link inayosema mombasa port inapakua 30million tons kila mwaka alaf tuendeleeHaujajibu swali, Hata bandari ya Kenya inapakua 30million tonnes kila mwaka, hauezi tarajia zote ziende na SGR, Kwa mfano Dar port mwaka jana ilipitisha 16 million tonnes, kuna tani million kadhaa zilibaki hapo Dar, alafu nchi jirani za SADC pia ni customer mkubwawa Dar port ,nchi hizo ziko upande wa kusini ambapo SGR haifiki, labda TAZARA....
mimi jana niliwaletea projected cargo and persenger demand hadi 2030,
baada ya ujenzi, baada ya kushindana kuhusu axle load, speed, locomotive capacity.......etc...at the end of the day, kazi ya reli ni kubeba mizigona watu...... mnatarajia kubeba kiasi gani?... (e.g. Reli ya SA iko na 16,000 trains a day!!!!!! kwa siku moja wanabeba mizigo ya miezi sita ya Tz... this is what matters the most)
Tuna operate at a loss kwasababu demand bado ni ndogo , relatively speaking ... No one expects us to make profit the first year for such a large project... once again ikijakwa tz sgr unaongea na wishful thinking badala ya takwimu
The brutal truth is our superior SGR will snatch cargo from Northern corridor! Be prepared for price wars as ours will be electrical run by power produced from within.Haujajibu swali, Hata bandari ya Kenya inapakua 30million tonnes kila mwaka, hauezi tarajia zote ziende na SGR, Kwa mfano Dar port mwaka jana ilipitisha 16 million tonnes, kuna tani million kadhaa zilibaki hapo Dar, alafu nchi jirani za SADC pia ni customer mkubwawa Dar port ,nchi hizo ziko upande wa kusini ambapo SGR haifiki, labda TAZARA....
mimi jana niliwaletea projected cargo and persenger demand hadi 2030,
baada ya ujenzi, baada ya kushindana kuhusu axle load, speed, locomotive capacity.......etc...at the end of the day, kazi ya reli ni kubeba mizigona watu...... mnatarajia kubeba kiasi gani?... (e.g. Reli ya SA iko na 16,000 trains a day!!!!!! kwa siku moja wanabeba mizigo ya miezi sita ya Tz... this is what matters the most)
Tuna operate at a loss kwasababu demand bado ni ndogo , relatively speaking ... No one expects us to make profit the first year for such a large project... once again ikijakwa tz sgr unaongea na wishful thinking badala ya takwimu
CRBC/CCCC ndo main contructor, alafu yeye ndo anafanya sub-contructing kwa kampuni za Kenya kuvunja na kuleta kokoto(sub-ballast) ,mchanga, vilipuzi vya tunnel...kujenga mitaro etc.....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa hiyo mmemlipa mchina pia hapo hapo mkailipa hiyo kampuni ya kenya kwaajili ya mitaro?
blah blah blahThe brutal truth is our superior SGR will snatch cargo from Northern corridor!
Leta evidence Mombasa port inapakua 30 mln tonsHaujajibu swali, Hata bandari ya Kenya inapakua 30million tonnes kila mwaka, hauezi tarajia zote ziende na SGR, Kwa mfano Dar port mwaka jana ilipitisha 16 million tonnes, kuna tani million kadhaa zilibaki hapo Dar, alafu nchi jirani za SADC pia ni customer mkubwawa Dar port ,nchi hizo ziko upande wa kusini ambapo SGR haifiki, labda TAZARA....
mimi jana niliwaletea projected cargo and persenger demand hadi 2030,
baada ya ujenzi, baada ya kushindana kuhusu axle load, speed, locomotive capacity.......etc...at the end of the day, kazi ya reli ni kubeba mizigona watu...... mnatarajia kubeba kiasi gani?... (e.g. Reli ya SA iko na 16,000 trains a day!!!!!! kwa siku moja wanabeba mizigo ya miezi sita ya Tz... this is what matters the most)
Tuna operate at a loss kwasababu demand bado ni ndogo , relatively speaking ... No one expects us to make profit the first year for such a large project... once again ikijakwa tz sgr unaongea na wishful thinking badala ya takwimu
Akikuletea tu nitag alaf mm nitamletea link last year dar port imepakua 20m tonsLeta evidence Mombasa port inapakua 30 mln tons
Basi hapo mbona ni vitu vya kawaida.....ambavyo hata huku hufanyika..,,au kwako ni kitu cha ajabu.....?..CRBC/CCCC ndo main contructor, alafu yeye ndo anafanya sub-contructing kwa kampuni za Kenya kuvunja na kuleta kokoto(sub-ballast) ,mchanga, vilipuzi vya tunnel...kujenga mitaro etc.....
blah blah blah
Nasubiria alaf mm nikuletee ushahidi kua dar imepakua 20m tons last year😂😂😂Leta official link inayosema mombasa port inapakua 30million tons kila mwaka alaf tuendelee