Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Na ile ulioletwa imeandikwa according to who!?
Hivi unajua BBC wana correspondents hapa Tanzania!?
Naona nabishana na much know wacha nikuache.
Jifunze kwanza tofauti ya habari na propaganda,usinipotezee muda.
Sio uzushi, ubishi wakati ukweli utabaki kuwa ukweli tuu
🀣🀣🀣🀣
Maisha ya Tanzania ni ya kawaida sana tena ya kwenda.

Turudi kwenye mada.
Wewe unafikili serikali wakwambia ukweli kwa mawazo yako wewe. Sasa kama walituficha kuumwa kwa rais mpaka waziri mkuu anatamka hadhalini. Rais ni mzima.
Unafikili kwa hilo utaambiwa ukweli??
 
Hospitali gani haijaboreshwa!?
Hivi unajua kuna Wakenya huvuka mpaka kuja kutibiwa Tanzania!?
Ingekua hospitali hazijaboreshwa Lowassa angepelekwa JKCI kutibiwa!?
Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
 
Hospitali gani haijaboreshwa!?
Hivi unajua kuna Wakenya huvuka mpaka kuja kutibiwa Tanzania!?
Ingekua hospitali hazijaboreshwa Lowassa angepelekwa JKCI kutibiwa!?
Unazungumzia kitengo.

Nenda katafute kama muhimbiri hospital ipo top 10 Africa??

Navyojua mimi ni University of muhimbili mwaka jana ilikuwa ya 3 under sub Sahara desert.
 
Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Health care provider yupi?
Nurse,medical attendant,physician au nani?
Mie mwenye ni health care provider na nimetembelea hospitali nyingi tu hasa ikiwemo kitengo cha mifupa MOI na kitengo cha moyo JKCI.
Usinichukulie poa man.
Muhimbilii ina sekta mbili,binafsi na huduma ya jumla.
Ulishawahi tembelea upande wa huduma binafsi ukaona kukoje?
Pia ni mwaka gani huo ambao muhimbili vitanda havitoshi!?
Unaweza ukatuletea ushahidi mwaka huu ikisemekana muhimbili vitanda havitoshi!?
Acha kuongea uongo.
Narudia kukwambia upande wa moyo na mifupa hapa Afrika ni S.Afrika tu ndio wako mbele yetu.
Serikali ya Tanzania huu ukanda ndio imejitahidi kuboresha huduma za afya katika sekta ya serikali.
Kenya unayotaka kuisifia huduma bora za afya nguli ni sekta binafsi sio ya serikali.
Hiyo Kenya mwaka huu waliishiwa dawa za TB hospitali zao za serikali,TANZANIA NDIO ILIWASAIDIA KENYA DAWA ZA TB.
KAMA UKITAKA USHAHIDI NINAO NAKULETEA.
Kuishiwa baadhi ya vifaa ama kutosheleza inatokea kwasababu idadi ya watu kuongezeka.
Ila serikali inafanya hima kuweka vifaa vilivyokosekana ili kukidhi mahitaji.
Njoo na tambo ingine sio hii mkuu.
 
Kuna jambo la kulificha na kuna jambo la sio la kuficha.
Hata Mwl.Nyerere alipoenda nje kutibiwa tulifichwa kama anaumwa nini,ila ilielezwa kafia wapi.
Kwanini watangaze alipofia Nyerere wafiche alipofia Magufuli!?
Walificha hali ya rais ili kutokuzua mtafaruku kwa raia na uongozi.
Nadhani hujui kuwa katika uongozi wapo wenye kutafuta upenyo wa kufanya yao pale wanapoona kiongozi ana hali tete.

Kenya wanasema Magufuli alienda kutibiwa kwao kwa ugonjwa wa Corona,ilhali Kenya ndio ilikua inaongoza kwa maambukizi ya Corona.
Kwa akili zako viongozi wanaweza kumpeleka rais wao akatibiwe sehemu ambayo maambukizi yameongezeka!?

Vyombo Vyote vilivyoripoti hawana correspondent hapa Tanzania,ila BBC correspondent wanao hapa Tanzania.
Nani habari yake iaminiwe!?
Ukishajua kutofautisha taarifa kamili na propaganda rudi tuzungumze.
 
Unazungumzia kitengo.

Nenda katafute kama muhimbiri hospital ipo top 10 Africa??

Navyojua mimi ni University of muhimbili mwaka jana ilikuwa ya 3 under sub Sahara desert.
Unapoenda kusaka list kuna hospitali za private lazima zitakuja juu.
Ila ukifanya tafiti mataifa mengi hapa Afrika yanakuja Tanzania kutibiwa magonjwa sugu na ya kibingwa.
Nenda hospitali za serikali za Kenya uone kama huduma zao zinafikia Muhimbili.
Inaonekana wewe ni mtu wa kumeza kitu na kukiamini sio wa kufanya tafiti.
Duniani hizo hospitali kubwa husifiwa katika vitengo,kama mifupa,moyo,figo,saratani n.k
Kwasababu magonjwa mengine yanatibika kikawaida ila magonjwa sugu na ya kibingwa ndio yanahitaji umakini zaidi.
 
Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Uhongo ndio nn? Uduma ndo nn? Mwimbiri ndo nn? We Mkundustan wacha kujilazimishia Utanzania na typos hizo!
 
Tatizo ununuzi wa magari unapewa kulingana na aina ya ubora wa kitu unachotaka. Bei ya Landcruser ni tofauti na Toyota vitz. Lakini yote ni magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…