In Kenyan voice "Mchina katuchesa" 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale..wapi?
Sio uzushi, ubishi wakati ukweli utabaki kuwa ukweli tuuNa ile ulioletwa imeandikwa according to who!?
Hivi unajua BBC wana correspondents hapa Tanzania!?
Naona nabishana na much know wacha nikuache.
Jifunze kwanza tofauti ya habari na propaganda,usinipotezee muda.
Mimi ni health care provider.Hospitali gani haijaboreshwa!?
Hivi unajua kuna Wakenya huvuka mpaka kuja kutibiwa Tanzania!?
Ingekua hospitali hazijaboreshwa Lowassa angepelekwa JKCI kutibiwa!?
Unazungumzia kitengo.Hospitali gani haijaboreshwa!?
Hivi unajua kuna Wakenya huvuka mpaka kuja kutibiwa Tanzania!?
Ingekua hospitali hazijaboreshwa Lowassa angepelekwa JKCI kutibiwa!?
unafikili=unafikiri...Turudi kwenye mada.
Wewe unafikili serikali wakwambia ukweli kwa mawazo yako wewe. Sasa kama walituficha kuumwa kwa rais mpaka waziri mkuu anatamka hadhalini. Rais ni mzima.
Unafikili kwa hilo utaambiwa ukweli??
Health care provider yupi?Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Kuna jambo la kulificha na kuna jambo la sio la kuficha.Sio uzushi, ubishi wakati ukweli utabaki kuwa ukweli tuu
🤣🤣🤣🤣
Maisha ya Tanzania ni ya kawaida sana tena ya kwenda.
Turudi kwenye mada.
Wewe unafikili serikali wakwambia ukweli kwa mawazo yako wewe. Sasa kama walituficha kuumwa kwa rais mpaka waziri mkuu anatamka hadhalini. Rais ni mzima.
Unafikili kwa hilo utaambiwa ukweli??
Unapoenda kusaka list kuna hospitali za private lazima zitakuja juu.Unazungumzia kitengo.
Nenda katafute kama muhimbiri hospital ipo top 10 Africa??
Navyojua mimi ni University of muhimbili mwaka jana ilikuwa ya 3 under sub Sahara desert.
Hayakuhusu! Unataka yaitwe Kundurenda?
Uhongo ndio nn? Uduma ndo nn? Mwimbiri ndo nn? We Mkundustan wacha kujilazimishia Utanzania na typos hizo!Mimi ni health care provider.
Najua hospital za serikali , asilimia kubwa ni mbovu , usilete uhongo.
Navyosema hivyo hasa kwenye Uduma.
Acha uwongo.
Mwimbiri tuu pale vitanda vichache.
Ulitaka iandikwe Lewis254?