Wakenya mna roho ngumu, hiyo mimoshi mnajua mtakuja watu!!!!
Hilo ni garimoshi sie tuna gariumeme!Wakenya mna roho ngumu, hiyo mimoshi mnajua mtakuja watu!!!!
ππππππππUpo factless sana mzee.Kwa Tanzania infusion fluid tunanunua wapi???
Achana na zinazotengeneza infusion unit, kama st.francis hospital kule.
Kwani Tanzania syringe π tunanunua wapi???
Hasa medical supplies? Tunanunua wapi???
WEWE NDO ACHA UHONGO
NA NINARUDIA ACHA UHONGO.
KAMA WEWE NI CHAWA SAWA.
WEWE mwenyewe upo TZ hapa unajua hali halisi. Unaleta ubishi tuu.
π€£π€£π€£π€£
Nikuulize kitu!?UKIONA WATU WAMEKUZIDI KIUCHUMI UJUE WAMEKUZIDI VITU VINGI NDUGU YANGU ACHA UBISHI TUU.
SASA tukirudi kwa kenya uchumi wa kenya ni mkubwa kuliko wetu.
Wewe unafikili inamaana gani???
Wakenya mna roho ngumu, hiyo mimoshi mnajua mtakuja watu!!!!
Mkenya mwenye jilaz yuko hapo Tanzania na kujifanya mmoja wetu. Et Kenya uchumi mkubwa wakati hawaishi uhalisia na sasa ndio wameanza kuishi uhalisia kwa kupunguza mishara ili kuweza kuendesha shughuli za kiserikali. Mapato yote ni $15B bajeti $30B.Mkuu kuna mjadala wa Dar vs Nairobi nenda kule huku usituharibie uzi mkuu.
Hiyo Kenya unayoisifia ina GDP kubwa mwaka huu wametuomba sisi dawa za TB,je hilo unalizungumziaje!?
hizi ni nini??? πUkitaka kuona esi-ji-ara garimoshi nenda kenya.
π
picha hizi hapa. haya nenda kajidai na wewe π πTupeni mrejesho wa awamu ya kwanza. Tumefikia wapi . Tuwekeeni picha tujidai na sisi
Jambo dogo hilo linarekebishika.
Halafu katengeneza handles nyingii yaani anajijibu mwenyewe!Kuna jinga moja limeingia humu, roho inamuuma sana comments zake zinajieleza wazi wazi. Kquma mmoja hivi.
Kuna jinga moja limeingia humu, roho inamuuma sana comments zake zinajieleza wazi wazi. Kquma mmoja hivi.
Ile ya Kenya ni working railway museum.Ukitaka kuona esi-ji-ara garimoshi nenda kenya.
π
Huyu huenda akawa Teargas kaja kwa mlango wa uani.πMkenya mwenye jilaz yuko hapo Tanzania na kujifanya mmoja wetu. Et Kenya uchumi mkubwa wakati hawaishi uhalisia na sasa ndio wameanza kuishi uhalisia kwa kupunguza mishara ili kuweza kuendesha shughuli za kiserikali. Mapato yote ni $15B bajeti $30B.
Punguza hasiraJifunze kuandika kwa ufasaha wewe. Acha upuuzi wako.
Wala sina hasira. Sema tu unajishtukia.Hii tabia nafikili mpk aje kiongozi apige marufuku
Sishangai , hata USA big economy unaomba mkopo China.Mkuu kuna mjadala wa Dar vs Nairobi nenda kule huku usituharibie uzi mkuu.
Hiyo Kenya unayoisifia ina GDP kubwa mwaka huu wametuomba sisi dawa za TB,je hilo unalizungumziaje!?