Umeshidwa kujibu kwa kuwa kama wewe kweli ni mtu wa afya.ππππππππUpo factless sana mzee.
Haya ndio maswali gani ya kuuliza!?
Kinachotizamwa ni vifaa tiba vimenunuliwa wapi au ubora wa huduma za afya!?
Huna la maana uloongea mkuu,mbaya zaidi hakuna ulichojibu.
HUNA HOJA MKUU,NIACHE NIENDELEE NA MJADALA MAHUSUSI.
Nijibu ya kwangu hapo juu kwanza, nimekuuliza vingi tuu unakimbilia kuniambia sina fact?Nikuulize kitu!?
Kama Kenya ina uchumi mkubwa;
1)Kwanini waliishiwa dawa za TB na wakaomba wizara yetu ya Afya tukawasaidia mwaka huu??
2)Kwanini walikuja kuomba tuwasaidie akiba ya fedha za kigeni mwaka huu ila Samia akawakatalia??
3)Kwanini walishindwa kuruzuku mafuta ili yasipande kiasi yao ni bei kubwa kwa 1200 tzsh zaidi yetu!?
4)Kwanini raia wao wanaandamana maisha kupanda bei HIGHER INFLATION RATE!?
Embu nijibu hayo kwanza,nisikujazie mengi ukashindwa kujibu.
Umeona wapi nchi iliyoendelea ina KASORO hizo hapo juu!?
Hivi unajua kama China ana dollar foreign reserve kubwa kuliko USA!?Sishangai , hata USA big economy unaomba mkopo China.
Ni kawaida labda kwao huko walipata wagonjwa wengi wakaishiwa kwenye stock.
Sasa kufanya order kiwandani mpk wakufanyie production.
Inachukua muda.
πππππππMkuu una mengi ya kujifunza kuhusu uchumi.Jamani maarifa ni kitu cha msingi sana, India wapo top 7 nchi zenye uchumi mkubwa na GDP kubwa dunia ila maisha ya watu wao ni magumu sana, kuna majaa mmoja alisoma India alisema wale ikifika jioni kuna barabara zingafungwa kwa ajili ya watu kulala. Watu ni maskini sana.
But GDP yao ni kubwa sana.
Utakuta mtu hata GDP hajui, ubishi mwingi.
Tanzania ni nchi yenye vivutio vingi sana , tena na sana. Mwaka jana tulipata watalii 1,808,205.
Rwanda ni nchi ndogo sana mimi ninavyojua wana mbuga ya sokwe, tena na wasisi sokwe wenyewe inawezena waliba tuu congo tu.
Wana akagera park.
Pamoja na genocide memory tuu.
Ila mwaka jana walipata watalii million 1.4. Mwaka huu 2024 unatarijia kupata watalii million 1.6.
Wewe uhoni kuna shida na tunauchumi mkubwa kuliko hao
Mi yangu hayo.
Tunatoa kwa kununua au kupewa!?Umeshidwa kujibu kwa kuwa kama wewe kweli ni mtu wa afya.
Vingi wa hivyo vitu tuna kenya au Uganda.
Hata kuna kuna kipindi efavirenz tulikuwa tunatoa Uganda.
Upo hapo?
Huna fact mzee.Nijibu ya kwangu hapo juu kwanza, nimekuuliza vingi tuu unakimbilia kuniambia sina fact?
Wana kiasi gani ? China reserves ya USD.Hivi unajua kama China ana dollar foreign reserve kubwa kuliko USA!?
Ukija upande wa China na US huko umeenda mlengwa mwingine.
Pia tofautisha mkopo na msaada.
Kenya zile dawa za TB hatujawauzia bali tumewapa,walikaa miezi miwili wakihangaika kuhusu hizo dawa.
Kama wangekua na ubavu ndani ya miezi miwili hiyo wangekua wameagiza nje kwa kununua.
Hebu kuwa serious jamaa dawa za TB ni dawa simple sana nchi kuishiwa kiasi ikaomba.
Ni sawa useme sisi tukitaka kwenda kununua vitu kwa shilingi tuna print tu.Wana kiasi gani ? China reserves ya USD.
Ninajua sana .
Hivi unajua us wakitaka usd kwenda kununua vitu nje wanaprint tuu usd. ????
Unajua hilo???
Wewe ndo huna fact kabisa.Huna fact mzee.
WEWE KAMA HEALTH CARE PROVIDER UKIWA HOSPITALI UTAULIZA UHABA NA UTOSHELEZAJI VIFAA AU UTAULIZA VIFAA VIMETENGENEZWA WAPI!?
Hivi hujui hapo ushatoka katika sekta moja ya tiba na umeenda sekta ya viwanda!?
You can't be serious kaka.
Wewe ndo huna fact kabisa.Huna fact mzee.
WEWE KAMA HEALTH CARE PROVIDER UKIWA HOSPITALI UTAULIZA UHABA NA UTOSHELEZAJI VIFAA AU UTAULIZA VIFAA VIMETENGENEZWA WAPI!?
Hivi hujui hapo ushatoka katika sekta moja ya tiba na umeenda sekta ya viwanda!?
You can't be serious kaka.
Kwenye uchumi wa kibepari,gdp siyo kipimo Cha economic welfareKingine naamini unaelewa kuwa unaweza kuwa na uchumi mkubwa lkn bado ukawa na shida nyingi sana .
Mfano Ethiopia πͺπΉ wanauchumi mkuwa sana kuliko hata sisi.
But raia wao wanakimbia kule life is hard.
Afu sipo hapa kushidana na kenya wewe ndo unanifanya nianze kufananisha TZ na kenya.
Ila tuludi kwenye uhaliasia wa maisha ya hapa kwetu Tz tuanche unafiki ya kenya yawe ya huko. Wewe mwenye sidhani hata kenya umewahi kufika? Okay any way sijui.
Unaweza ukawa na uchumi ukubwa ila still baadhi ya vitu ukawa huna.
π π π π π π π π πNi sawa useme sisi tukitaka kwenda kununua vitu kwa shilingi tuna print tu.
Hivi unajua pesa zinaprintiwa tu pasi na kanuni!?
Bro pita kushoto naona unanipotezea muda.Wewe ndo huna fact kabisa.
Eti unakaa kushinda nisha na kenya.
Wakati hata wewe kama wewe naamini shida nyingi tuu unazo.
Unataka mimi nikujibu wakati vyangu hujibu eboo
Kwani wamerekani ni akina nani?Kwenye uchumi wa kibepari,gdp siyo kipimo Cha economic welfare
Wewe umesema US akitaka kununua vitu nje ana print tu dollar,je pesa zinaprintiwa bila kanuni!?π π π π π π π π π
Uoni kama unakataa hoja zako