Umeshidwa kujibu kwa kuwa kama wewe kweli ni mtu wa afya.ππππππππUpo factless sana mzee.
Haya ndio maswali gani ya kuuliza!?
Kinachotizamwa ni vifaa tiba vimenunuliwa wapi au ubora wa huduma za afya!?
Huna la maana uloongea mkuu,mbaya zaidi hakuna ulichojibu.
HUNA HOJA MKUU,NIACHE NIENDELEE NA MJADALA MAHUSUSI.
Vingi wa hivyo vitu tuna kenya au Uganda.
Hata kuna kuna kipindi efavirenz tulikuwa tunatoa Uganda.
Upo hapo?