Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania


Hapa ndo walipofikia jirani zetu baada ya upepo mkali wa SGR yetu, tuwaombee! Behewa moja halafu limeandikwa kichina tupu ukute mkwanja wote unaelekea kwa Soviet dah mchina analamba anavyotaka hizi nyangโ€™au.
 
huwezi kunyorosha miguu, safari nzima munashinda kuangaliana. what if hamuongeleshani sasa... wueh! don't you think it would be awkward the whole journey nyote ni mabubu, mara uangalie juu hiviii mara upande ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฎ
Safari inachukua muda mfupi sana.
Hiyo miguu inaumaje hata usipoinyoosha!?
Unadhani hiyo ni Madaraka nyenyinyo inajiburuta kwa masaa sita?
 
huwezi kunyorosha miguu, safari nzima munashinda kuangaliana. what if hamuongeleshani sasa... wueh! don't you think it would be awkward the whole journey nyote ni mabubu, mara uangalie juu hiviii mara upande ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฎ
Viti vinageuka!
 
The luxury train services will accommodate 28 passengers, providing ample legroom and personal space with fully reclining seats for ultimate relaxation during the journey.


 
Hapo unapopa post daily panaweza kurekebishwa kama ilivyorekebishwa reli nzima ya narrow gauge.
Jambo dogo sana hilo piga kelele za bure kujifariji.
mbuzi kweli ww. reli ina-cost billions of dollars of taxpayers hard-earned money na upo hapa kusifiasifia kwa kuwa ww ni chawa wa mama yaani huna akili kabisa.
nakuhakikishia hio ingekua ndani ya Kenya, mm binafsi nalianzisha kwa kuandamana hadi kieleweke!!!


What da fvck???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ