Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Unafikiri hivyo vipicha ndiio vitanidanganya? Ha ha haπ
makinika dogoUnafikiri hivyo vipicha ndiio vitanidanganya? Ha ha haπ
Kwa nini usianze wewe?πmakinika dogo
View attachment 3055078
Nimeshakuambia vipicha vya mtandaoni havinitishi mbona hutaki kuelewa?
πππ hauoni hii πNimeshakuambia vipicha vya mtandaoni havinitishi mbona hutaki kuelewa?
Kwa nini unajifanya hutaki kuelewa?πππ hauoni hii π
View attachment 3055092
Yaani wewe hujaelewa tu?πππ
View attachment 3055113
ππ koma kunifatilia maisha yangu. now back to the topicYaani wewe hujaelewa tu?
upuzi juu ya upuzi tu π πSasa kama Tanzania wamelala Kenya iache kuchangamkia fursa?.pamoja na viongozi wa Tanzania kuziuza bandari zao zote Kwa Dp world kwa madai uchwara ya kuwa bandari zetu zitakuwa Bora kuliko bandari zozote afrika mashariki kumbe ni upuuzi mtupu.yaani Bado tumezidiwa na bandari ya Mombasa mara elfumoja zaidi.Viongozi wa tz mjitathimini kama hizo nafasi zinawatosha
time waits for no man my friend βοΈKenya kwenye maslahi yao kimataifa huwa wako chap kwa haraka.
Upuuzi mtupu.ππ koma kunifatilia maisha yangu. now back to the topic
kwani si mufungue ndugu... shida iko wapi hiyo miaka tulishaitoka kitambo. ona hapa πHakuna kufungua!! Wafungue kwao Kenya ujinga ulishaisha tz
imagine wako radhi nchi waikabidhi kwa waarabu na wahindi lakini mtu mweusi ananyimwa kichochoro cha kupita sehemu A kwenda B.Waruhusu tu, kwetu hatunaga baya.
Huo mlima Kilimanjaro nao mkitaka chukueni, au tuwape wazungu
Ccm na serikali yake hawawezi biashara,udart wateja wanao wa kutosha lakini wanafeli
Sgr itaelekea huko huko
Nyie sahv huko sgr pigeni mapicha chukueni mavideo ya kik
Ila mbeleni huko utaona chaliiii
Ova
πππHata hyo sgr wameeanza kwa mbwembwe mbeleni chalii
Ova