ndiko kuuzwa huko. dunia hii hakuna cha bure. hivyo ndio huwa mnajisahau na ndio maana nyang'au ataendelea kuwatandika kila siku!Acha upumbavu wewe kujenga ndo kuuzwa? Mbona egypt wamejenga Julius Nyerere kwa hela zetu na hiyo gati tumeshatenga hela kwenye budget pamoja na gati za bagamoyo.
Noted!Ruto amesema nyang'au sasa wanaweza kubadilisha passport kwa siku saba. Ikiwezekana kabadilishe upate mpya, ha ha haπ
Wewe kwa akili yako unafikiri boeng 747 Itatua uwanja wa vumbi hauna radar hauna vifaa vya mawasiliano hauna zimamoto unafikiri boeng 747 ni Bajaji au Bodaboda .View attachment 3054822
View attachment 3054825
ww kwisha mambo yako ππView attachment 3054836
wewe ni mjinga.Wewe kwa akili yako unafikiri boeng 747 Itatua uwanja wa vumbi hauna radar hauna vifaa vya mawasiliano hauna zimamoto unafikiri boeng 747 ni Bajaji au Bodaboda .
Akili za kuambiwa changanya na zako ndio maana twitter wakaweka fact check sio kila kitu uchukue ulete huku tusome jiridhishe kwanza Kama ni kweli au pumba .
Wewe ndio umemnukuu mjinga mwenzako bila kuchuja nini unaambiwa ukakimbia haraka haraka kutuambia upuuzi .wewe ni mjinga.
kwa kua ulisikia ndege ni 'boeng' 747 tu. wakati mwingine uwache kukurupuka
View attachment 3057006
View attachment 3057007
hujielewi... nyi nyote ni Wajinga!Wewe ndio umemnukuu mjinga mwenzako bila kuchuja nini unaambiwa ukakimbia haraka haraka kutuambia upuuzi .
Kamanda basi jifanye mbongo achana na ile passport ya nyang'au iliyochakaa. Inaonekana unaipenda sana Tzπππduh! uchawa bhana. kusifia kote huku kuna maana gani? kwani ametumia hela zake au za walipa kodi? π
View attachment 3057061
π€£π€£π€£π€£π€£ umenikumbusha mbali sana! pitia hapa uone π SGR na Zimwi la Uhairishwaji kila MudaLabda umesahau tu ww lakin kabla ya apo tulishapigwa danadana za kutosh kuhus kuanza kaz iyo chombo