Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Acha upumbavu wewe kujenga ndo kuuzwa? Mbona egypt wamejenga Julius Nyerere kwa hela zetu na hiyo gati tumeshatenga hela kwenye budget pamoja na gati za bagamoyo.
ndiko kuuzwa huko. dunia hii hakuna cha bure. hivyo ndio huwa mnajisahau na ndio maana nyang'au ataendelea kuwatandika kila siku!
for example unatembea zako maraundi, then all of a sudden/ out of nowhere, you receive a text like this πŸ‘‡

how will you feel, what would be your reaction?
 
wewe ni mjinga.
kwa kua ulisikia ndege ni 'boeng' 747 tu. wakati mwingine uwache kukurupuka


 

Attachments

  • 6B6CCC31-E129-4C83-80DE-76F8C4BAB8CD.jpeg
    1,007.8 KB · Views: 1
duh! uchawa bhana. kusifia kote huku kuna maana gani? kwani ametumia hela zake au za walipa kodi? πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…