Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Acha upumbavu wewe kujenga ndo kuuzwa? Mbona egypt wamejenga Julius Nyerere kwa hela zetu na hiyo gati tumeshatenga hela kwenye budget pamoja na gati za bagamoyo.
ndiko kuuzwa huko. dunia hii hakuna cha bure. hivyo ndio huwa mnajisahau na ndio maana nyang'au ataendelea kuwatandika kila siku!
for example unatembea zako maraundi, then all of a sudden/ out of nowhere, you receive a text like this 👇
IMG_20240730_121644.jpg

how will you feel, what would be your reaction?
 
Wewe kwa akili yako unafikiri boeng 747 Itatua uwanja wa vumbi hauna radar hauna vifaa vya mawasiliano hauna zimamoto unafikiri boeng 747 ni Bajaji au Bodaboda .
Akili za kuambiwa changanya na zako ndio maana twitter wakaweka fact check sio kila kitu uchukue ulete huku tusome jiridhishe kwanza Kama ni kweli au pumba .
wewe ni mjinga.
kwa kua ulisikia ndege ni 'boeng' 747 tu. wakati mwingine uwache kukurupuka
IMG_20240730_183518.jpg

IMG_20240730_183216.jpg

 

Attachments

  • 6B6CCC31-E129-4C83-80DE-76F8C4BAB8CD.jpeg
    6B6CCC31-E129-4C83-80DE-76F8C4BAB8CD.jpeg
    1,007.8 KB · Views: 1
duh! uchawa bhana. kusifia kote huku kuna maana gani? kwani ametumia hela zake au za walipa kodi? 😀
IMG_20240730_204648.jpg
 
Back
Top Bottom