Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Inaendaje kufa w
...ambayo inaenda kufa kifo cha mende hivi karibuni ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Akat ndo tunakwambia no tumeanza kumbuka tulichowafanya kwenye Bomba la Hoima
Nenda tulichotaka wafanyia kwenye usafirishaji wa mafuta kwenda Uganda inability mrudi Uganda kupiga magoti
 
Inaendaje kufa w
...ambayo inaenda kufa kifo cha mende hivi karibuni ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Akat ndo tunakwambia no tumeanza kumbuka tulichowafanya kwenye Bomba la Hoima
Nenda tulichotaka wafanyia kwenye usafirishaji wa mafuta kwenda Uganda inability mrudi Uganda kupiga magoti
Maybe uliwaokota ila kwangu utachemka naijua Kenya nje ndani
...ambayo inaenda kufa kifo cha mende hivi karibuni ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hiking sio kipindi mlichozoea kuboycoyt saaa hivi tunakula sahani moja. Visit bado mnakuja kununua karanga na kwenda kuziexport?
Maybe uliwaokota ila kwangu utachemka naijua Kenya nje ndani
Nenda kwa facts sio maneno matupu
 
ww kwanza jifundishe kupost picha na uwe na uandishi wa kueleweka ndio twende vizuri. kisha jaribu kuzingatia mada. asante.
 
sasa ukiijua Kenya ndio nitatishika ama? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kuanzia tarehe 25/08/2024 sgr dar - dodoma ni fully booked
Ukija sgr kenya train ya 3.00 Bado mnasiti 56 za economy
Treni ya saa 10.00pm mmebaki na siti 197
Tukija tarehe 26/08/2024 express Tanzania ni fully booked zote za kutoka dar- dodoma- Dar
Sgr kenya mpaka Bado mnaempty siti634 treeni ya saa 3.00
Treni ya business class 90
Economy class 1021
Huku sgr bongo zimebak siti 300 kwa treni ya jion kwa hiyo unaona kwamba when I it comes to return ni kuwa Tanzania sgr inaweza ikawa na return kubwa ya kurejesha mkopo kuliko mkebe wenu ambayo diesel ikipanda mnalazimika kupandisha bei
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-24-19-39-11-67_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    187.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-08-24-19-34-53-54_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    239.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-08-24-19-33-48-13_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    235.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-08-24-19-33-12-36_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    235 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-08-24-19-31-20-12_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    244.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-08-24-19-30-36-71_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    226.5 KB · Views: 4
Ebu check nauli ya kwenda mwanza kwa tarehe 25/04/2024 kwa Bei ya ksh 8000 hii nauli ikuja Kenya wote mtatetemeka utumbo
 
kwa distance ipi?? unajua we jamaa unabweka tu kama mbwa koko without evidence.
unachukua distance ya dar - moro unailinganishwa na distance ya Nbo - Msa.
shenzi sana ๐Ÿ˜
Ooh nimekosea hiyo ni distance ya Dar to Moro ngojea nilete ya Dar to Dodoma.
 
unajitutumua sana. naona una mengi ya kujifunza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ