Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kuna wale masista duu wa kupiga picha nje ya stesheni na vibegi kuwa wanasafiri ilikuposti kwenye insta zao
Nashangaa nikiingia ndani siwaoni, maana nakuwa napanga niwamendee tushuke wote
πŸ™„πŸ™„ unataka kuwaibia simu zao? nisiwai kusikia malalamishi ya simu kuibiwa au watu kupigwa ngeta 😁
 
Umeshashindwa hoja unakimbilia kwenye vimbwanga na kanjanja au sio!?
aa wapi? mwaniletea mtu illiterate... mtu yuko hoja_less kama ww. mwambie ajifunze kuandika maana ananipa wakati mgumu sana ili niweze kumuelewa.
 
aa wapi? mwaniletea mtu illiterate... mtu yuko hoja_less kama ww. mwambie ajifunze kuandika maana ananipa wakati mgumu sana ili niweze kumuelewa.
Huna hoja mazeeh.
Umeshashindwa hoja waleta viroja.
 
Huna hoja mazeeh.
Umeshashindwa hoja waleta viroja.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kama vile ulivyoshindwa hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


mm nakupa facts... kama huna facts lazma utapata shida kujadiliana na mm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…