Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kufunga locomotives mbili sio kwamba moja haiwezi kuvuta bali kuna sehemu kama mbili along the MGR track kuna vilima vikali engine moja haitoshi hiyo loco ya pili inakuwa synchronised treni ikifika sehemu hiyo ya kilima kikali.
🤣🤣🤣🤣🤣 unachekesha sana kama sio kufurahisha....
mbuzi ww. unachosha watu akili tu 😂😂😂
 
haha hawa jamaa walifaidi kipindi kile barabara ya kati ikiwa ni vumbi na kipindi kuna ujambazi uliokubuhi kanda ya kati, sasa hivi wananyosheka balaaa
kuwa na akili basi kidogo. bado tunaendelea kufaidi. utake usitake!
 
Nachofaham ni kuwa tren inayopita kwenye MGR haiwez kupita kwenye SGR sababu miundombinu ya hizo train ni mahsusi kwa aina ya reli flani
wapuuzi hawa. wamejaa ujinga. ati umchukue mbwa, umwingize kwenye zizi la mbuzi, automatically huyo mbwa anakua mbuzi na kuanza kulia "mmeee" na kula nyasi.
rudia nilichokiandika hapo juu,,, does it make sense?
 
danadana hapa na pale..... 😂
hqdefault.jpg

hqdefault-1.jpg
 
Back
Top Bottom